Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

Du! Jamaa wametukosa hapa, hatari kweli ilkuwa. Dakika ya 20 bado 0-0
 
Naona refarii anampango wa kuwakosha yanga kwa kadi....
 
Hapa hakuna kitu, tusubiri masumbwi tu ya alfajiri, Yanga tumejitahidi ila Watunisia wamependwa zaidi....Yanga tujipange upya....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…