kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Wakuu, Tuko Next Door Arena.
Kuna mapambano ya Ndondi yanaendelea hapa.
Mpaka Sasa mapambano ya Raundi nne yameisha Mawili na Yote Tz tumepoteza.
Lets Go. Pambano la Tatu sasa.
Naona Mkongo anakipiga na Mtz hapa... Twende sawa.
Hamis Palasunga anakipiga sasa.
====
RUMBLE IN DAR: MWAKINYO NA IBRA CLASS WAING’ARISHA TANZANIA
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ameshinda kwa KO dhidi ya Bondia Antonio Mayala wa Angola. Pia Ibrahim Class ameibuka mshindi dhidi ya Sibusiso Zigange wa Afrika Kusini
Mabondia wengine wa Tanzania walipigana katika ulingo wa Next Door Arena walipoteza mapambano yao, akiwemo Shaabani Jongo aliypigwa KO na bondia wa Nigeria Olanrewaju Durodora
Mtanzania Imani Daudi Kaway amepikwa kwa KO na Bondia Chris Thompson kutoka Afrika Kusini, pambano la uzito wa Juu (Heavy weight). Ardi Ndembo wa DR-Congo ameshinda kwa KO dhidi ya mtanzania Hamisi Palasungulu
Mtanzania Leila Yazidu amepoteza pambano lake dhidi ya Joana Nwemerue kutoka Bulgaria. Pia Daniel Matefu amepoteza pambano lake dhidi ya Mbulgaria Pencho Tsvetkov
Kuna mapambano ya Ndondi yanaendelea hapa.
Mpaka Sasa mapambano ya Raundi nne yameisha Mawili na Yote Tz tumepoteza.
Lets Go. Pambano la Tatu sasa.
Naona Mkongo anakipiga na Mtz hapa... Twende sawa.
Hamis Palasunga anakipiga sasa.
====
RUMBLE IN DAR: MWAKINYO NA IBRA CLASS WAING’ARISHA TANZANIA
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ameshinda kwa KO dhidi ya Bondia Antonio Mayala wa Angola. Pia Ibrahim Class ameibuka mshindi dhidi ya Sibusiso Zigange wa Afrika Kusini
Mabondia wengine wa Tanzania walipigana katika ulingo wa Next Door Arena walipoteza mapambano yao, akiwemo Shaabani Jongo aliypigwa KO na bondia wa Nigeria Olanrewaju Durodora
Mtanzania Imani Daudi Kaway amepikwa kwa KO na Bondia Chris Thompson kutoka Afrika Kusini, pambano la uzito wa Juu (Heavy weight). Ardi Ndembo wa DR-Congo ameshinda kwa KO dhidi ya mtanzania Hamisi Palasungulu
Mtanzania Leila Yazidu amepoteza pambano lake dhidi ya Joana Nwemerue kutoka Bulgaria. Pia Daniel Matefu amepoteza pambano lake dhidi ya Mbulgaria Pencho Tsvetkov