Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hawa simba lazima watakua wametuloga tu,sio bure
mkuu umechukuwa wadhifa wa maruhum shehe Yahaya?dk 75,79,87 hizo zitashuhudia magoli matatu ya yanga
Wachezaji wenu wamesha-Panic wanasukuma "vifaa" vyetu.
Shehe Yahya.
hawa simba lazima watakua wametuloga tu,sio bure
Hii mipira ya Simba na Yanga imejaa uchawi tu!
Wameruhusiwa kufanya substitution hadi ngapi?Tambwe Nje...Kiemba ndani...thanks Tambwe kwa goli 2
Kwa kuwa yeye ndio mtemi wa Simba...
simba wachawi sana hawa watu