Live Updates:Stand United VS Simba

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakuu Mnyama hatari mda huu unakipiga na Stand United ligi kuu ya Vodacom.Nipo hapa Kambarage(kati ya viwanja vilivyoporwa na CCM) kuwaletea mtanange.Simba 2:Stand 0,Ng'we ya pili.Simba watisha
 
Hatari inatokea hapa langoni mwa Simba,Majavi anaokoa hapa
 
Mvua inanyesha hapa Kambarage,mashabiki tunakosa amani,
 
Jamani hawa madogo wanacheza,Kiemba,ndemla,kiiza,majavi,kiiza,lyanga ni one two one two
 
Mauritius Yanga wameshinda kamoja...................hongereni watani
 
Dk ya 25 hapa Kambarage.Simba tunafanya tizi ya kumchapa Yanga
 
Mwenye data za Hassan Ramadhani atupie humu,dogo anapiga mpira,"Methi" anasubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…