Hao wa algeria waliendaje huko? Kama si kupitia ubingwa wa ligi kuu? Muwe mnatumia akili hata kidogo kuliko kuiacha mpaka inaoza bure tu. Ni mpuuzi anayedharau ligi kuu kama vile anaweza kwenda mashindano ya kimataifa bila ligi kuu au kombe la azam. Ukosefu wa akili kichwani