Simba leo tumekuwa na biashara bora kabisa yenye faida za Mabilioni sio Kama ile biashara ya Utopolo usajili wa bil 2.5 alafu mpira wa ovyo ovyoBiashara Haishindi Ila Lahaula Inang'ara Hawa mabingwa wanabebwa Kama Paula Wa Kajalla.
Biashara Forever
Rudi hapa, uthibitishe maneno yako.Hii game ni draw leo. Mark this reply.
Yanga WamenunaFT Simba 4- 0 Biashara
Show ilikuwa kali
Acha wanune biashara ni wake wenza wao.Yanga Wamenuna
Si mchezo!umeona alivyokataa hicho chuma?
🤣 🤣 🤣 🤣Hii timu ikipata kocha wa ukweli inaweza kupiga soka Afrika nzima hakuna
Mzamiru nae kaupiga mwingi sanaNimependa sana alichokifanya Ndemla Leo.Kaupiga mwingi sana .
Naona kocha kaanza kumuamini now.
Mpira sio wa kila mtu, we baki huko huko MMU......Simba tunaomba mjenge uwanja basi Timu kubwa hata kiwanja hamna
Mishuzi tu inawatoka mtaa wa pili. Na bado tunaendelea kuwakeraaBiashara Haishindi Ila Lahaula Inang'ara Hawa mabingwa wanabebwa Kama Paula Wa Kajalla.
Biashara Forever