LIVE: YANGA SC Vs IHEFU FC

LIVE: YANGA SC Vs IHEFU FC

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Raundi ya tatu kombe la Azam Sports Federation kuendelea leo.

Wananchi Yanga SC wanaanza mbio za kulisaka taji hili kwa kumenyana na lhefu SC. Mechi hi itapigwa katika Dimba la Benjamin .Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.

Tuwe hapa Pamoja.
 
Kuna mechi inayoendelea saizi kati ya KMC na Majimaji

KMC wanacheza vizuri kuliko yanga, sometimes bora tuwe tunaweka updates kwenye mechi kama hizo kuliko kumuangalia mayele akijiangusha peke yake kwenye box
 
Kuna mechi inayoendelea saizi kati ya KMC na Majimaji

KMC wanacheza vizuri kuliko yanga, sometimes bora tuwe tunaweka updates kwenye mechi kama hizo kuliko kumuangalia mayele akijiangusha peke yake kwenye box
Umeongea point sana mkuu, binafsi nime enjoy sana hii mechi
 
Back
Top Bottom