ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Raundi ya tatu kombe la Azam Sports Federation kuendelea leo.
Wananchi Yanga SC wanaanza mbio za kulisaka taji hili kwa kumenyana na lhefu SC. Mechi hi itapigwa katika Dimba la Benjamin .Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.
Tuwe hapa Pamoja.
Wananchi Yanga SC wanaanza mbio za kulisaka taji hili kwa kumenyana na lhefu SC. Mechi hi itapigwa katika Dimba la Benjamin .Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.
Tuwe hapa Pamoja.