Live you LIFE to the FULLEST...

Ha ha haaa, mkuu... kuna mi-ndoto mibaya bora usiote, unaota unafukuzwa na watu na mapanga eti wanahitaji viungo vyako, sijui unakoswa koswa kugongwa na bodaboda, umeibiwa kwenye daladala, umelazwa wodi ya kina mama. 😛ound:
Hahahahaha!!!! Elia taratibu bana usiku nisijepatwa na ndoto hii mimi lol
 
Hehhehe Partner casual gani hii ya kuwatoa watoto wa watu macho kwenye socket???!Nitafutie nyingine bwana itakayofanya wakodoe ila sio saana mpaka nijimwagie kawine kangu!!
Dah!!!!!
 
Sibagui, sichagui atakeyenizika simjui. Only God anaramani ya maisha yetu kabisa, anajua tulikotoka, tulipo na mwisho wa hizi vurugu zetu tutakuwa wapi! Ubarikiwe Asha D.
 


OMG...Am Blessed to have you....what an inspirational message....:A S-rose::busu
 

Hapo vipi partner???Kama kuna ulichopenda nichagulie .....



Hizo bomba wewe sitakupendeza... ila mimi naomba nitafutue yenye suruali na top (iwe ndefu kiaina), kwa casual ndo napendeza, asmuchas hizo nguo ni nzuri ukweli ni kwamba hazitanipendeza... am waiting dear...
 
Asha D mbona kama vile unatoa wosia? hizi ongea za namna hii mtu anakuwaga anawaaga wenzie! au ndo pre 21st May? mie nimeguswa na timing ya hii message
 
My life is the only precious i have, no one wil dare to came and take it. Naishi maisha yangu, til wen i die!
 
You have a great weekend dearest....with more love and lots of determination in all aspects of life....cheers!!
 
Asha D mbona kama vile unatoa wosia? hizi ongea za namna hii mtu anakuwaga anawaaga wenzie! au ndo pre 21st May? mie nimeguswa na timing ya hii message



Sio hivyo bana..... Manumbu si umeona heading... an inspirational message....lol
 
wapo kibiashara au?



lol....lol.... Sharohphp unapenda vimwana eeeh....lol... yaani wewe kuwaona umechanganikiwa mpaka umeshindwa walau usome hio inspirational message... kweli umenimaliza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…