Acha kelele wewe, watu tuko kwenye msiba hapa!!Namtafuta mkuda moja hivi chijui kakimbilia wapi .... ..... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Namtafuta mkuda moja hivi chijui kakimbilia wapi .... ..... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeNamtafuta mkuda moja hivi chijui kakimbilia wapi .... ..... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
huyu wacha1 kanikamata kweli mwaka huu
kanikamata kama torres,
kanikamata kama manure na arses
kanikama kama wenger na fungus-on
kanikamata kama carrol na torres
yeah... naona mmeuzwaAisee naona leo mnamwaga radhi hapo nyumbani .. .... .... ... hongereni sana LF 3 - 0 Mancs .... ..... .. halftime kumbe anayewaharibia mpira ni Gero na yule mliyepata faida naye Tor the res, imekula kwa mafioso chesick.
yeah... naona mmeuzwa
Mkuu Wacha1, kwa heshima naomba nikupe 'kazi' moja tafadhali! Wenzangu wa nyumba hii siku hizi tukipata msiba wanatoroka hawaonekani kabisa!! Sijui wanamwogopa bundi??? Sasa nakuomba popote utakapowaona uwapigie kelele na kuwakurupusha warudi home. Asante in advance!!
Nasikia Tor the res alikuwa analia peke yake leo ..... ...... ..
ni kweli lakini this year tulishagive-up ... the focus ni kwa mwakani ndio maana unaona hata digidigi wanachezaKama kawaida yenu.... mnakamia mechi na top four teams lakini mnafungwa kama mmesimama na watoto wadogo lol!!..
Mwakani mnaweza msicheze ata Europa.
Nasikia Tor the res alikuwa analia peke yake leo ..... ...... ..
Pamoja sana mkuu. Lakini huwa mnakimbilia wapi???Mie na liverpool damdam
Hapa ndani wadau wengi hawaonekani mkuu!! Sijui huwa wanachungulia kwa mbali....?! Nimempa kazi yule mnoko Wacha1 awasake na makelele yake lkn naona na yeye presha iko juu...!!Tupo mkuu!