Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

leo mlie 2 mnatakiwa muwe pabaya leo cjui kama mtapona
 
Carroll naye hawezi kuendelea,yani hatuna depth kabisa Jonjo wapi na wapi,bado sana.
 
Yeah thanks to D. Kuyt.... FT Arsenal 1 - 1 Liverpool

Kudos liverpool fc
 
Ingawa tunampa MANU ubingwa lakini ni lazima kutunza heshima
 
Ingawa tunampa MANU ubingwa lakini ni lazima kutunza heshima
Mkuu usikonde! Mimi naamini huyu kocha akipewa fungu la kuisuka hii timu vizuri, Msimu ujao hatutashikika kabisa. Heshima ya Liver itakuwepo tuu. Kama na hii defence ya leo tumewazuia jamaa wa magobore, si haba.
 
Yaelekea msimu huu ManU wanachukua la 19, labda kuwe na collapse ya ajabu isiyotegemewa. Nasi Liverpool msimu ujao tutachukua la 19.
 
Last season mlitubania ubingwa wa 19,msimu ujao huenda mkawa na timu kali sana
 
Jamani Liverpool msimu ujao mjitahidi au siyo MTM..droo haikuwa mbaya jana mana mngelilia kichapo!!
 
Yaelekea msimu huu ManU wanachukua la 19, labda kuwe na collapse ya ajabu isiyotegemewa. Nasi Liverpool msimu ujao tutachukua la 19.
Sure mkuu, baada ya purukushani za umiliki wa timu kuisha, kuanzia msimu ujao itakuwa mwendo mdundo.
 
Khaaa hawa wenzangu wa nyumba hii wako wapi?! Vijana wanakandamiza huko lkn wazee mmeuchuna kama vile tumefungwa... Hii kali kwa kweli!!
 
Haya majogoo ni nouma mazeeeee
Mhano kwa sinia
Am proud Jogoo
 
khaaa hawa wenzangu wa nyumba hii wako wapi?! Vijana wanakandamiza huko lkn wazee mmeuchuna kama vile tumefungwa... Hii kali kwa kweli!!
mkuu tupo ila kwa ile quality ya vile vitoto vya ressies... I am speechless

sikuwahi tegemea akina thomson, jonjo, flanagan, spearing wanisahaulishe glen johnson, steven gerrard, daniel agger, etc

we have a bright future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…