Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkicheza hivi mpaka mwisho wa msimu mnaweza kucheza champions league maana naona Spurs wanasuasua vile kama hawataki.

Ila Liverpool mna prospect nzuri sana hivi vitoto vyenu vinaonekana viko imara kuliko ata vya Arsenal, Man Utd tukichukua number 19th lazima mwakani muweke a big fight mtake kuvunja hiyo record.
 

Watoto wa Wenger wamedumaa, wamekuwa vijeba. Hawa wa Kenny D wanachukua uzoefu mechi hizi zilizobaki, mwakani nawatahadhalisha hata hao Barca wakae chonjo, majogoo halisi wa Ulaya wanarudi
 
Vijana wanajitahidi, msimu ujao tutakuwa moto wa kuotea mbali. Big up Flanagan and Robinson. You will never walk alone
 
Vijana wanajitahidi, msimu ujao tutakuwa moto wa kuotea mbali. Big up Flanagan and Robinson. You will never walk alone
Mkuu wale watoto wanatia moyo sana, Daglish has shown how just by having faith with someone leads to super performance
 
Mkuu wale watoto wanatia moyo sana, Daglish has shown how just by having faith with someone leads to super performance


Nasisitiza, kumbuka kubadili avatar kama ulivyoahidi....lol
 
Vijana wanajitahidi, msimu ujao tutakuwa moto wa kuotea mbali. Big up Flanagan and Robinson. You will never walk alone
Hao vijana wamenifurahisha sana. Wanacheza mpira kama walikuwemo siku nyingi vile. Nilikuwa na wasiwasi wa beki 2 baada ya kuumia kwa Johnson na Kelly, lakini dogo Flanagan ameimudu sana. In few year to come tutakuwa moto wa kuotea mbali.
Kinachotakiwa sasa nadhani Kenny amhamishe Kelly kwenda central defence (his preferred position) ili kumwandaa kuchukua nafasi ya Carra atakapostaafu.
 
mkuu tupo ila kwa ile quality ya vile vitoto vya ressies... I am speechless

sikuwahi tegemea akina thomson, jonjo, flanagan, spearing wanisahaulishe glen johnson, steven gerrard, daniel agger, etc

we have a bright future
Mkuu, wenzetu wanapotea sana hapa!
Ni kweli mkuu hata mimi sikutegemea hawa watoto kuwa na kiwango hiki. Najiuliza kwa nini Daglish alikaa mda mrefu hivo bila timu..
 
Godoro uclo lilalia huwezi jua kunguni wake" King hapo liverpool ni kama godoro lake anajua miiko na makatazo ya liverpool waungwana nawaambia kama bwana Yesu alivyosema watakuja manabii wa uongo ila mimi nitabaki, basi ni kama liver zitakuja timu zitabebwa kama Man utd. Lakini LIVERPOOL itabaki.
 
mkuu, wenzetu wanapotea sana hapa!
Ni kweli mkuu hata mimi sikutegemea hawa watoto kuwa na kiwango hiki. Najiuliza kwa nini daglish alikaa mda mrefu hivo bila timu..

kwenye mlima 2naweka gear na kwenye mteremko ni free watoto wanafundishwa miiko na wazee wa mji king.
 
funny how time flies
 
Sure mkuu. Na kwa mwendo tulionao, kuanzia msimu ujao watatukoma.
 
Last November we were fighting relegation... but now, Europe... Here we come
 
Good times for LiverPool fans. Lakini ajabu hawaonekani hapa!! Wakuu mmekasirika nini?!
 
Wakuu tuache utani siku hizi mpira wenu unjavutia sana.

Hongereni kwa kufanya mabadiriko ya kocha wakati muafaka.
 
We are playing superb soccer, ila nadhani Raul Meireles has proven kwamba he is the best in the midfield, he is out subbed and we see a shift of our balance
 
Maxi is on fire.... 7 goals in 3 games and counting

I hope chesi will come and pay us 60M quids for him as well

dang!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…