Very funny...
Not Aplicable. Kuna msimu Andy Johnson alifunga goli 25, lakini Crystal PALACE ikashuka daraja...
Arse8 imefanya nini tena??!!Yeah, CRYSTAL PALACE! Apparently, RVP plays for The Arsenal. UP WE GO!
Thanks pal... Sasa tunaenda kujiandaa kwa ajili ya kuwakabili Man City. Na tutarudi hapa siku tisa zijazo kwa ajili ya lile kombe la madafu..BIG up wadau... 3pnts muhimu... Swafi sana........
Wee gamba umetokea wapi?! Asante kwa hongera hata kama umeitoa kinafiki...!!!Dah kumbe chelshit wameangukiwa tena leo??
Hongeren sana livafool!!
Ha ha ha poleni. Riz 1 anashabikia timu iliyovunja daraja juzi. Kwenye hili na Yanga nipo nipo naye ila kwenye gambaaaa..... lol! Big up wadau kwa ushindi murua. Sasa ni kazi moja kuzifunga timu zote kuanzia na haya Ma tycoon halafu Darajani tena kwa ajili ya kombe la Carlingsidhani. ****** ni fan wa Newcastle, nadhani watoto ni MANSIX... Huo msemo umekuwa maarufu huku kitaa, representing anything going wrong way!
Dah kumbe chelshit wameangukiwa tena leo??
Hongeren sana livafool!!