punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
we have to learn to beat smaller teams
Kubali Liverpool inapata tabu ikikutana na timu ndogoKwanini maxi aachwe nje lakini refa kaharibu mchezo kwa kukataa goli la suarez na kumtoa spearing
Mkuu, mechi hii ilipigwa Craven Cottage siyo Anfield... Inakera kuwa mechi ambayo tungeshinda kilaini tumeipoteza na mchezaji juu(red cardWelcome to anfield lfc vs fulham
Huyu dogo kuna siku atang'ata mtu kama alivyofanya kule Holland! Jana kawaonyesha mashabiki wa Fulham ishara ya kidole cha kati! FA wamepata sababu, wanamchunguza na bado kesi yake ya maneno ya kibaguzi haijaisha!Suarez sidhani ka atakaa muda mrefu lfc kwa mtindo huu...
aquilina is never a holding midfielderPengo la Lucas sijui nani ataliziba kuanzia msimu uliopita kaisaidia sana timu,..?! Sijui kulikuwa na 7bu gani kumtoa Aquilan kwa mkopo..Kwa sasa defence ndo inatubeba sana, acha Carragher aendelee kusubili,
aquilina is never a holding midfielder
Leo wakuu vp naona mpaka saa dk 40 bila bila