punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Asante mkuu. Tunajiandaa kukomaa na ving'ang'anizi Spurs...hongereni sana..
mkuu tupo full ila nasikitika huku kwetu tania seko wamechukua chao sijui ntaona kweli gemu hii?
hahahaha! huyo paka katoka wapi, au mambo ya juju...hahahahaha!!
hahahaha! huyo paka katoka wapi, au mambo ya juju...hahahahaha!!