Uchawi gani wewe?! Yule alikuwa Redknapp alipata lifti ya Wacha1 kutoka London...Pamoja na uchawi wenu mmechemsha
Kumbe hujui wachezaji wa man6 wanavyojua kuchonga? We waangalie kina Owen, Fednand na romney walivyorukia issue ya nani awe mrithi wa Capello!!hvi siku wine romney kawamsemaji wa FA nini...
Basi Leo Tutaharibu huyu Babu Kenny vipi anampanga huyu Spering marafu si bora angempandisha Juu yule Dogo "Suso" basi sitoshangaa leo kutoka Draw.
Haiwezekani mtufunge game mbili mfululizo leo kihama chenu kimewadia.
Hautaamini macho yako we mwenyewe utakimbia kamanda
Haya tutarudi hapa mida ya jioni kupeana salamu za rambirambi.
SUAREZ--What a fool he refused to shake Evra's hand,He just made it worse again.
And what a fool of you that you didn't see Fednand olso refused to shake Suarez' hand!!!SUAREZ--What a fool he refused to shake Evra's hand,He just made it worse again.