Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pamoja na kushinda, hii timu yetu bado ni changa na mbovu. We still have a long way to go. Sijui kama tutapona kesho kutwa kule Stoke City. Tunapiga hatua moja mbele mbili nyuma.
 
Tukubali timu yetu ndio basi tena ni yakuwa 8-10 na kama sio 12-15 ni aibu wasipojua kuchukua middle zenye kuvunja watu miguu kati basi tena wasijidanganye ni timu ya Top 5 kilichobaki kununua kina Davies wa Bolton na wachezaji wa daraja la chini. Stoke leo watapiga hata 5
 
Naona now livapuli washapigwa 3 - 1!
Kwa huu uchoyo wa Suarez, ther is no way they are gonna come back!!
 
Mkuu sio Suarez ndio kisingizio. Timu ni mbovu
Ukiangalia individual players, livepool ina wachezaji wazur sana! Kwangu mimi naona kocha anashindwa kuwacombine vizur. Huyu Kocha kapewa mikoba ambayo siyo size yake!
Hata sub anazozifanya sasa hivi zote ni za kijinga!
 
Ukiangalia individual players, livepool ina wachezaji wazur sana! Kwangu mimi naona kocha anashindwa kuwacombine vizur. Huyu Kocha kapewa mikoba ambayo siyo size yake!
Hata sub anazozifanya sasa hivi zote ni za kijinga!
Wachezaji wa maana hapo ni Agger, Johnson, Suarez na may be Sterling. Gerrard ameshachoka wengine wote ni just average players
 
Mkuu hujakosea hata Kidogo huyu SG sio wakucheza kabisa mie nashangaa Assaidi hachezeshwi kushoto weka kati Sahin na Joe Allen hakuna timu hapo wanunue Middle zile zenye kufagia kati na Attacking Middle zilizokwenda shule Steven Gerrad anawaharibia timu Enrique na Shelvey Lazima uwe na wachezaji wanajuwa kucheza ubavu na akili sie hawa wakiingiza mguu wanatoa kuogopa kuumia kwenye kupiga pira refu piga usione aibu washenzi tu LFC imeshakwisha timu kweli ni bovu. Linauwa vipaji vya wenzao sasa hawa kina shelvey na Downing.
 
Bora hata Kuyt na Bellamy wasingeondoka haya huyu Joe Cole anakuja kufanya nini hata akifunGa goli haibadilishi kama mpira wake ni basi tena.
 
Wachezaji hawajali wanajali mshiko wao wa weeks anayejali Suarez tu mie naona na Agger,Johnson waliobaki wanacheza tu Dogo Raheem namuonea huruma kilichobaki watandikane wenyewe kwa wenyewe ndio tutajua kuna watu wanajali bora ifukiwe tu timu yaishe. Mtu kama Handerson si bora awe mrembo?
 
Liverpool Football Club
Born 1892
Died officially April 2009

RIP

Naona Stoke waliwapania .. ..kumbuka hawa jamaa hawajapoteza mechi mwaka huu nyumbani kwao oops nafikiri Feb 2012 west brown ndio waliwabangua pamoja na Valencia.

bora Abajalo kuliko Liverpool...

Nae
Wacha fujo bana hakuna mashabiki wa timu za vichochoroni hapa .. ... ..ebo!
 
Wacha lol usitete hawa michezaji inapewa mipesa kibao kwa weeks inafana ujinga tu na upumbavu:A S angry:
 
Liverpool Football Club
Born 1892
Died officially April 2009

RIP


Mkuu mie kuanzia leo sitizami tena Liverpoolfc mpaka nitaposikia kweli wamerudi nafasi ya 4 siwezi kuumiza kichwa watu wanapata pesaa zao kwa weeks hawana machungu na timu, bora nikamtizame Mwanangu Park yaishe na hapa ndio siji ujinga mtupu Steven Gerrad naye bora astaafu tu mie na Football basi tena. bora mtu ukatizame Wanawake wanacheza netball nikaswali mie Swala zangu 5 ni muhimu kuliko hii mipira. Liverpoolfc byebye mpaka mtaporudi nafasi ya 4 waniite tu plastic fan. hata Wacha ana furahisha kuliko Shelvey na Handerson.
 
Wacha lol usitete hawa michezaji inapewa mipesa kibao kwa weeks inafana ujinga tu na upumbavu:A S angry:


Mkuu siwatetei hawajapoteza mechi home almost a year mwaka huu ... ..... .. .tink outside of the box ... .... all big guns walikuwepo hapo wametoka zero ... .... ... .. think of any team in EPL ... .... ... hakuna alieshinda pale! Ni West brom pekeee ... ....

BTW EPL mwaka huu kiboko utaona ups and downs hadi May hakuna mwenye nafuu .... ....

 

Kurudi nafasi ya nne ni haiwezekani kwa timu hii mkuu.Hii timu imeshindwa kumaintain ushindi hata wa mechi tatu za epl mfululizo.Anayekumbuka liver kushinda mechi tatu mfululizo atuwekee hapa ni lini ilikuwa.

Kuna watu wanamtolea macho kocha,sidhani kama ni kitu kipya.Tumeshabadilisha makocha watatu baada ya Benitez lakini hakijabadilika kitu.Kuendelea kubadilisha makocha hakutairudisha liverpool kwenye form.

Tuna wachezaji gani wakali wa kujivunia ambao wanaweza kuingia hata kwenye kikosi cha wachezaji 50 bora wa Dunia?Nani ameziba pengn la Hypia?Nani ameziba pengo la Alonso?Nani amemreplace Mascherano?Nani anashindana kwa magoli na akina Rooney kama alivyokuwa Torres?Je Gerrad bado ni mchezaji tegemeo la timu inayohitaji mafanikio kama Liverpool?

Kulia na kuuma meno pale lvp inaposhindwa hakuwezi kuirudisha timu kwenye form.Tunataka uchungu wa timu ndani ya uwanja,sio kulialia kila baada ya mechi.
 
Haaahaaaa, mkuu Pazi, mechi na QPR usikose! Na ujiandae kabisaa... hata kama tukitandikwa usipanik sana, uwe mpole tu! YNWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…