Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa kweli hii timu kwa sasa ni kimeo na ofcourse sijawahi on LFC mbovu namna hii..sioni kikosi cha kumfunga QPR hapo.
Mtu kama Gerald Steven alipaswa kupumzika muda tu..halafu wachezaji hawana molari kabisa!
Tunaishabikia tu kwa sababu tulishakuwa wapenzi wake but inakera sana kwa sasa!

QUOTE=SHERRIF ARPAIO;5334685]Vibonde siku zote wanatufunga. QPR watatufunga na tukibahatisha labda draw.[/QUOTE]
 
Tumeshinda leo 3-0.Nafasi ya tisa point 28.point 21 nyuma ya timu inayoongoza ligi!Tatizo ni kumaintain ushindi,leo tunashinda tatu kesho tunapigwa tatu.Maisha yanaendelea
 







SWEET AND SUAR ... Luis Suarez celebrates scoring for Liverpool
while Nedum Onuoha looks on in disbelief










SUAR DUST ... Liverpool ace Luis notches his first of the afternoon





SHIRTY HARRY ... Redknapp shows his frustration on the bench


Hongereni wakuu naona ndio mnaanza EPL .... .... ..
 


Liverpool till I die.

When I die, bury me with my Liverpool jersey.
 
2-0 to Liverpool! big up Suarezzz!! advantage kwa Suarez! huyu jamaa hataki ku give up, whaaat a goal!! cam'on Scousers!!
 
Mpira umeisha liver 3-0 Sunderland.
Matokeo mazuri, suarez Kafunga 2 na sterling Raheem 1
 
Hata mimi, yaani angalau anaweka back up kwa Suarez..tunahitaji magoli, ndo kitu kila siku tulikuwa tunashindwa kupata..Je, Unataka Caroll arudi?
Mkuu!! Mi sioni haja ya kurudi kwa huyu Carrol kwani hata hivyo Mi naona hivyo tulivyo yatosha................!! Ngoja tar. 13/01/2013 saa kumi na nusu tuwafundishe hawa wanaojiita mashetani wekundu adabu!
 
Mkuu!! Mi sioni haja ya kurudi kwa huyu Carrol kwani hata hivyo Mi naona hivyo tulivyo yatosha................!! Ngoja tar. 13/01/2013 saa kumi na nusu tuwafundishe hawa wanaojiita mashetani wekundu adabu!
kabisaa..tukiweza mzuia Robin Van Persie tu tunawafunga wale..siwapendi kama nini, yaani nachukia Man U hadi basi.

Alafu Fabio Borini anakaribia kurudi, mbele tutakuwa na watu wa kukimbia, kucheza pasi ndogo ndogo na kumaliza na wote wadogo, timu inajijenga upya baada ya muda kuwa below standards..Alafu Suso, Raheem na Assaidi wote wanakua..tutakuwa noma, msimu huu wa kupata experience na kuzoea mfumo mpya wa brendan rodgers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…