Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakubwa tuko second half 3 bila, naona kama haya magoli yalitakiwa kuwa mengi zaidi.... Maana wachezaji tulionao mbele wote ni hatari.
 
Sijui ni kwanini tunashindwa kuongeza magoli hapa!
 
Dah, vijamaa vimepata goli! Uzembe sana kwa wachezaji wetu...3-1 dakika ya 80.
 
Full time 3-1, point tatu muhimu... si mbaya japo ningefurahi zaidi kama tungekuwa tunafunga magoli mengi zaidi, na kuto-drop tempo yetu kipindi cha pili.
 
Kipindi cha pili tempo ilikuwa chini ukilinganisha na kipindi cha kwanza. All in all tupo juu ya table tunaongoza ligi.
 


Too hot to handle: Daniel Sturridge (left) is congratulated by Luis Suarez (right)
after he doubled Liverpool's advantage




Loving father: Suarez walked around the pitch with
his son and daughter on his return to Anfield

Mwaka huu naona mnatisha, safi sana tutapambana tu hivyo hivyo ... ...
 


Tusipong'atuka na leage ama FA nakwambia kutakuwa na mkono wa mashetani!
You will never walk alone!
 
Tusipong'atuka na leage ama FA nakwambia kutakuwa na mkono wa mashetani!
You will never walk alone!

as long as our defence na hasa sakho, toure, wingback, na agger wako poa na pia lucas, coutinho, suarez na sturridge hawaumii tutaweza kwenda top four

kwangu mimi Gerrard is costing his team, anachoka dk ya 60 na kuwa mzigo kwa timu nzima, benitez alikua anampta muda wa kupumzika which rodgers isnt doing
 
1.)I agree with you on Gerrard. Inaonekana Rogers anamwogopa Gerrard. Kuna baadhi ya games unaona amechoka na anahitaji kuwa-substituted lakini anacheza hadi mwisho.

2.) Skirtel anatakiwa akae bench mara baada ya Agger kurudi. Katikati asimame Agger na Sakho/Toure

3) Huu mchezo wa kumtoa Victor Moses kila game na kumwingiza Sterling ukome. Anaetakiwa kupumzishwa ni Henderson sababu yeye hachezi mpira wa maana zaidi ya kujali nywele zake.

4.) Ikifika January transfer window we need to add an attacking mid ya kumsaidia Coutinho na winger mwenye mbio ambae atacheza wide kama Walcott wa Arsenal. Hapo tutakuwa poa

Rogers binafsi simkubali naona bora tumlete Guus Hiddink, Frank Rijkaard ama Rafa Benitez
 

Rodgers has achieved what no one would achieve, bringing discpline to the team, i agree with all other comments except ya kumtoa rodgers. Liverpool needed to start afresh, and they needed a naive coach with all dreams but no contamination BR, is just that

I dont like henderson kabisa, i would go for Moses in place of henderson, na kuhusu gerro, him as a captain should not be selfish, he needs to ask to rest (sturridge did so) and should also stop making too many mistakes... of the goals conceded, 3 implicate him directly
 

Rogers has his own shortcomings as a coach. He lacks CL pedigree which may cost Liverpool a lot
 
Rogers has his own shortcomings as a coach. He lacks CL pedigree which may cost Liverpool a lot

hata Mourinho aliwahi kuwa new comer kwenye CL, hata Wenger hadi leo hana CL medal

someone has to start somewhere and BR and Liverpool are a in the perfect situation to start afresh

at this point and with the financial situation and the depth of the squad, Liverpool cant afford those high caliber men you are talking about
 
Mnaongea points kabisa wakuu..hata mimi nishaanza kuona kuwa Gerrad amechoka choka hivi..Henderon na Lucas ndo wanafanya kazi yote pale kiungo.

Inabidi aanze kula bench..its sad but its life, people grow old and Gerrad time has clearly passed. Time to have some new blood in there.
 

That's what is costing Wenger and Arsenal. Arsene Wenger lacks CL pedigree and so does Rogers
 
That's what is costing Wenger and Arsenal. Arsene Wenger lacks CL pedigree and so does Rogers

respectfully disagree.. how did mourinho, AVB, etc started being CL gurus??

BR is not different from them
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…