Jikaze mkuu game bado yenu hii....STURIDGE anawapia goli la 2....2-2 nowMambo si mambo watoe Moses Leo watu 10 wanatutoa Jasho middle zetu mbovu kila game, ah imetoka tena kwisha habari yetu boring.
huku kwetu umeme hakuna nimekosa game. update please.
Hehehe Mie nilifikiri utamuongelea handerson yeye an akimbia tu , defender kacheza uzuri tatizo alivunja sheria za Kuwa defender yeye na sakho walitakiwa wajue adui amekaa wapi au anakuja vipi wao hawajategemea atatokea mtu Kule Mie cicokho alinifurahisha mtu kashafunga ndio anageuka tena kutizama alitokea wapi, tatizo sio Rogers ni wachezaji katikati ya uwanja boring.huyu defender sisskho is shit
eeeh Liver ndio Wamebana... Game hii mlikuwa mfe kibududraw ya leo sio mbaya
new castle wamebana sana
draw ya leo sio mbaya
new castle wamebana sana
leo Liverpool walikua na mizigo mingi tu, henderson, sissokho, johnson na huwezi kuweka kolo, sakho na skertel centerHehehe Mie nilifikiri utamuongelea handerson yeye an akimbia tu , defender kacheza uzuri tatizo alivunja sheria za Kuwa defender yeye na sakho walitakiwa wajue adui amekaa wapi au anakuja vipi wao hawajategemea atatokea mtu Kule Mie cicokho alinifurahisha mtu kashafunga ndio anageuka tena kutizama alitokea wapi, tatizo sio Rogers ni wachezaji katikati ya uwanja boring.
Kazeni buti nyie ebo! Mlifikiri mnacheza cha ndimu?