Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona jukwaa limeingiliwa na hiyo mboga hapo ya kujichekesha.... Ashantoa udhu huyu kima

kaizer gemu lilikua letu henderson doesnt deserve to be in the team
 
Sare ya jana imenikera sana, wachezaji wetu waliidharau NC?! Rodgers naye anajifariji kuwa hiyo point moja inaweza kuwa ya muhimu mwisho wa msimu. Ajabu haongelei hizo mbili tulizokosa zinavyoweza kutu-cost.
 
SAS wanatishaaaaaa hehehehe Suarez hat-rick hero Liverpoolfc YNWA!
 
Haaaahaaaaa! Pazi, naona leo hauna tatizo na Henderson! Leo vijana wamecheza mpira wa hatari... YNWA.
 
Haaaahaaaaa! Pazi, naona leo hauna tatizo na Henderson! Leo vijana wamecheza mpira wa hayari... YNWA.
Mkuu usiingie ugonjwa wa Arsenal wa kujisifia ushindi na vibonde. W. Bromwich ni kibonde kama C. Palace au Norwich. Ngoja tuanze match ups na top teams baada ya hapo ndio tutajua kama hii timu is for real ama ni just pretenders.
Next stop Emirates
 
suarez 3,sturridge 1.Hutaki kajitundike or amia r madrid! !!?????
 
Mkuu usiingie ugonjwa wa Arsenal wa kujisifia ushindi na vibonde. W. Bromwich ni kibonde kama C. Palace au Norwich. Ngoja tuanze match ups na top teams baada ya hapo ndio tutajua kama hii timu is for real ama ni just pretenders.
Next stop Emirates
Kweli mkuu hata Mie huwa mpaka game 20 ndio tutajuwa ukweli wetu LFC, sasa hivi mapema mno tena sana, Mishetani mekundu wapo nafasi ya 8 ila ukiitizama hawapo mbali sana tofauti ni ndogo sana wanauwezo wakurudi point zao tofauti na top 4 ni maybe 6 je LFC tujiulize kweli zikifika game 20 tutakuwa top 4? Kwa maoni yangu sizani. Ila tulipokuwa tushukuru na wasikae tamaa Tupo weak katikati ya uwanja na Arsenal ndio katikati wapo best.
 
liverpool sawa tu na prizon ya mbeya
Usichekeshe watu watakuona kichwani hazipo unafananisha Mike Tyson na matumla? Kichwani unazo mshukuru mungu ukiwa cha kusema huna wanasema mtu bora unyamaze.
 
Nashukuru umeliona hilo mkuu. Ukishacheza na 2 Manchester teams, Chelsea, Tottenham na Arsenal hapo ndio utakuwa ktk position ya kujua kama timu itafika wapi.
Hii biashara ya kuanza kutangaza ubingwa wakati umecheza na vibonde watupu so far waachie Arsenal wenyewe
 
Usichekeshe watu watakuona kichwani hazipo unafananisha Mike Tyson na matumla? Kichwani unazo mshukuru mungu ukiwa cha kusema huna wanasema mtu bora unyamaze.
kichwani zipo sana,tatizo we mzee mpaka unapoteza kumbukumbu
 
suarez 3,sturridge 1.Hutaki kajitundike or amia r madrid! !!?????

Sasa hivi tunatisha mjomba! Huyu WBA msimu uliopita alitupiga zote ndani na nje! Nakumbuka ndio tuliofungua nao msimu wakatupiga 3-1! Sasa hivi tunawapiga tunavyotaka pamoja na kuongeza nguvu za akina Anelka na Sessegnol.
 
Mkuu usiingie ugonjwa wa Arsenal wa kujisifia ushindi na vibonde. W. Bromwich ni kibonde kama C. Palace au Norwich. Ngoja tuanze match ups na top teams baada ya hapo ndio tutajua kama hii timu is for real ama ni just pretenders.
Next stop Emirates
Mkuu, tungecheza vibaya tungelaumu bila kujali tumecheza na timu gani. Sijawahi kuwa carried away hata kidogo. Ligi bado iko mwanzo, hiyo haizuii kusema wakicheza vibaya au vizuri...YNWA.
 

Wana-Liverpool wenzangu huu sasa ni ugonjwa........naubatiza Jina la "self-esteemlessness".

Binafsi sikubaliani kabisa na mtizamo wa hapo juu kutokana na sababu hizi:

1) tayari tumeshacheza na Manure na tumemchapa. Why not hao wengine "wakubwa" ulowataja?
2) huyo unayemwita kibonde WBA alimchapa Manure (tena OT kabisa), huku sisi tukimchapa jana 4-1
3) misimu mingi huko nyuma Liverpool hupoteza points nyingi kwenye hii michezo ya mwanzoni mwa msimu. Msimu huu imekuwa tofauti...so, kwa nini tusiwe na optimism ya kufanya vizuri this season?

Mimi nina imani sana msimu tutafanya vizuri (sina uhakika na ubingwa though) iwapo:

1) pair ya SAS itakuwa injury-free kwa sehemu kubwa ya msimu. Vijana sasa hivi wako very hot!
2) Rodgers atamtumia zaidi Cotihno pale kati badala ya Henderson ili kuipa midfield yetu extra creativity. Kwa kweli mimi binafsi naungana na opinion ya Alex Ferguson kuhusu Henderson - he simply doesn't deserve to be in that red shirt!
3) mwezi January tutawauza Aspas na Henderson halafu ile bid yetu kwa Diego Costa iliyoshindwa last time sasa iwe re-submitted pale Athletico Madrid.

Tukifanikiwa hiyo ya 3 hapo juu, hata ubingwa tunaweza kuanza kuuota for once!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…