leo majogoo mnapandwaa mpaka mtage mayai manne....!
leo majogoo mnapandwaa mpaka mtage mayai manne....!
Umekosea! Nenda ukafanye homework yako upya... Jogoo hapandwi kamwe!
Hahahahaha....naona Liverpool anakunywa nyingi leo. Arsenal back on top!!!Kuna ka harufu ka mtu kupewa kicha kikali upande wowote
Jamani, yule mshika kibendera aliyenyanyua offside kwa Rahiim na goli likakataliwa, ana makengeza au?! Hakukuwa na offside yoyote pale.
Jamani, yule mshika kibendera aliyenyanyua offside kwa Rahiim na goli likakataliwa, ana makengeza au?! Hakukuwa na offside yoyote pale.
Mizigo kama wewe nikiwaonaga yani mnanichefu sana!
Haya kimbia ukajisifie kwa ndugu zako kuwa umefaulu kumjibu mtu JF...!Nenda kakichukue ww...😎
Anakunywa nyingi kwa mujibu wako shehe yahya au kwa hali ya mchezo...Au hiyo ni dua yako?!Hahahahaha....naona Liverpool anakunywa nyingi leo. Arsenal back on top!!!
Mbili ni nyingiii!! So liverpool sasa hiv ipo nafasi ya nne?Anakunywa nyingi kwa mujibu wako shehe yahya au kwa hali ya mchezo...Au hiyo ni dua yako?!