Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Ntunzu lazima weekend hii Liver wakubake kwa mchezo huo wa Mourinho wa kupata goli 1 na kupaki basi hakika unapigwa.

Ktk siku ambayo utashuhudia mpira na kumjua Mourinho ni kesho!

Jikumbushe mechi ya Arsenal na umuhimu Wa ile game kwa arsenal na mkakati Wa Mourinho ulivyotimia asilimia 100 ingawa hatukushinda!

Nawaheshimu Liver na wapinzani wetu lkn Mou ni kiboko Yao! Mechi ya kesho ni Ngumu kwa liver na c Chelsea na tayari Mou ameshaanza kuwaua liver kisaikolojia kwa kuwapamba kua wao liver ndio mabingwa msimu huu kwa 7 bu hawashilki mashindano mengi Zaidi ya Epl tu!

Narudia tena! Kesho mtamjua Mou kua ni nani! Yani Huyo Suarez, sijui Kotinho na Stearing kesho lazima wapotee!

Kikipangwa kikosi cha Chelsea nitakupa tena dondoo zangu
Thx
 
Liverpool wapo vizuri at the moment, kama wataweza kucheza kama walivyocheza na spurs au man city leo watapata ushindi.
 
Liverpool wapo vizuri at the moment, kama wataweza kucheza kama walivyocheza na spurs au man city leo watapata ushindi.

Jamani ivi timu ikicheza mechi mbili vizuri basi inakua inatisha!? Subirini muone Leo mpira!
 
Leo liverpool jiandaeni kulalamikia refa tena..leo mje na refa wenu
 
Jamani ivi timu ikicheza mechi mbili vizuri basi inakua inatisha!? Subirini muone Leo mpira!

Si tunachoomba usije kimbia kama kawaida yako but believe it or not mechi ya leo ni ngumu sana na kuna asilimia kubwa ya Chelsea kupigwa.
 
Leo liverpool jiandaeni kulalamikia refa tena..leo mje na refa wenu

Hebu tukumbushe wakati Morinho na Drogba wanawalilia marefa kuwa wameiumiza chelsea kama uliandika hivi??? Kwa akili yako refa akiboronga asisemwe ikiwa tu imeigharimu Liver...!!!
Wakati mourinho anapiga kelele huko Hispania kuwa timu yake inaonewa tuonyeshe post uliyoweka humu kupinga mtazamo huo wa kuonewa. UNAFIKI NI MZIGO.
 
Si tunachoomba usije kimbia kama kawaida yako but believe it or not mechi ya leo ni ngumu sana na kuna asilimia kubwa ya Chelsea kupigwa.

Mkuu Mimi sijaanza kushabikia mpira Leo! Nawala siwezi kukimbia! Naijua LFC vizuri namfahamu Mou vizuri! Ninachosubiri nione Mou amepanga kikosi gani ndio nikupe tathimini! Na Km akipanga kile kikosi kilichocheza na Arsenal Liver hawatoki! Na Leo tegemea kuona mpira Wa Hali ya juu! Maana kocha Wa Liver anakuja kukutana na boss wake Mou Wa zamani maana wamewahi wafanya kz pa1 Kwahiyo hapo ndio penye raha!
 

Kikos cha katikati Lampard halaf Oscar nje ndio unakitegemea mkuu? Hakika nakuhakikishia kama Lucas Leiva, Allen na Coutinho wakiwa kwenye form waliyokuwa nayo siku wanacheza na Man City hakika mipira mingi lazima imfikie Canibal na kiberenge Sterling na hapo ndipo majanga lazima yatokee.
 

Mkuu kwanza kabisa Huyo Sterling Leo hutomuona kabisa! Na pia pale katikati akisimama Obi na Lampard na Ramires! Yani viungo Wa Liver lazima wapotee! Yani Hichi kitu nakuambia! Kwanza Leo tegemea kuona ngome ya Chelsea Ngumu Km chuma ikisaidiwa na hao viungo na viuongo Wa penbeni!

Unajua napata shida namna gani nikuambie lkn Naomba ujue sasa umefika wakati Wa Chelsea kucheza mpira Zaidi mpk kufia uwanjani!

Relax, soon we will be watching the game and what I've been telling you!

Kwa upande Wa mawinga hiyo haina shida! Akiwa Hazard au Willian au Schuller iko poa kabisa! Oscer nisingelipenda aanze coz ana hawezi kukaba na Liver wanacheza kitimu wote! Kwahiyo tunatakiwa na tucheze wote na kukaba wote!
 
Leo Liver itabidi itumie nguvu za ziada ili ishinde ili kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa.
 
Naona liver imedhibitiwa kwenye kiungo inaweza kufungwa magoli mengi kama hawatabadilika ktk mchezo huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…