ommysoftnet
Senior Member
- Feb 7, 2014
- 154
- 32
Aibu...aibu...kwa ManU...but sisi Kops tunasema David Moyes is the Football genius!
Hii ni kwa kila ajae mbele yetu ajipange.....Huwezi kuizuia SAS, ni kama katapila ukijifanya unazuia katapila unajisababishia matatizo, Ukijifanya kuizuia SAS unazalisha matuta. "You W'll Never Walk Alone"
point nyingine iz kwa cardiff...watusamehe tu bure wakishuka dalaja
Mechi iliyopita December 2013 Liverpool tukiwa anfield tuliifumua Cardiff mabao 3-1. Mimi huwa sitabiri kwa kubase on past events ingawaje wengi huamini on history. The Cardiff v/s Liverpool facts ni kwamba liverpool gemu yake ya mwisho kushinda akiwa ktk dimba la cardiff ilikuwa 1 April 1929 na alishinda 2-1, katika mechi 31 ambazo wamewahi kukutana Cardiff kashinda 18, liverpool kashinda 10 na wamedroo 3. Historia haajirudii lazima tuondoke na point 3 muhimu coz msimu wa 2013/2014 ni wa LIVERPOOL.
Dah! Leo mmetoa kipigo cha paka mwizi... ila mkija Anfield sahauni coz pale ni sehemu nyingine ndugu!Tunakuja hapo kwenu mwezi ujao lazima tuwanywe damu!
Chelsea we are the champion
Leo na wasiwasi tuna Draw Cardiff sio rahisi hasa muda wao wakushuka huu hawataki kirahisi sie tushukuru tutamaliza Top 4 bingwa ni Chelsea au City.
Leo na wasiwasi tuna Draw Cardiff sio rahisi hasa muda wao wakushuka huu hawataki kirahisi sie tushukuru tutamaliza Top 4 bingwa ni Chelsea au City.
Dah! Leo mmetoa kipigo cha paka mwizi... ila mkija Anfield sahauni coz pale ni sehemu nyingine ndugu!
karibun sn.....msije kunywa damu yenye vimelea