Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ntuzu acha ushabiki wa kiswahili punga wewe! Nani alijua chelsea itachukua champions league mwaka juzi? Usipende kubwabwaja sana mwezi mzima kabla ya mechi,hivi mlijua kuwa mtafungwa na aston vila last week? Hivi wewe unaujua mpira kweli?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu acha ushabiki wa kiswahili punga wewe! Nani alijua chelsea itachukua champions league mwaka juzi? Usipende kubwabwaja sana mwezi mzima kabla ya mechi,hivi mlijua kuwa mtafungwa na aston vila last week? Hivi wewe unaujua mpira kweli?


Uzuri Mimi sitoi lugha za matusi km wewe! Na hii inaonyesha Kua huna hoja ya kujibu!

Nimesema hivi tangu Jana humu ndio ntakua nashinda mpk tarehe 27 mwezi ujao! Maana nimebakiza biashara na nyie tu nimalize kz na niwakaribishe tarehe 3 darajani siku ntakayo Kua nakabidhiwa kombe!

Ninachowambia jipangeni! Nakuja kuwaharibu km nilivyompiga Man City!
 
Last edited by a moderator:

Wishes...! Pale ni Anfield usipachezee.
 

Uzuri ukweli unao kichwani japo kimaandishi wajipa false hopes ndugu. BR is the best manager of the season so as Suarez! Mpira tunaocheza unaeleweka na ni mzuri sio nyiny na Ashanti yenu hyo ya bluu.
 
Uzuri ukweli unao kichwani japo kimaandishi wajipa false hopes ndugu. BR is the best manager of the season so as Suarez! Mpira tunaocheza unaeleweka na ni mzuri sio nyiny na Ashanti yenu hyo ya bluu.


BR ni best kwenu Na Suarez ni bora kwenu Lkn siku the blues wakitua hapo lazima mpotee!
 
atakabla ya iyo tar mtakua mshatupisha iyo nafasi....TIMU MOJA NDIO UWANAHOFIA " ASERNAL" LAKIN MAN CITY AU CHELSEA AAAHAAAHAAAH NACHEKA KWA DHARAU
 
kama stanford milishinda 2 - 1 tena kwa fitna sijui anfield itakuwaje........?


Hebu niambie hiyo fitina ilikuaje? Maana Mimi nilitizama mpira Lkn hiyo fitina sikuiona?

Nakwambia hivi, Huyu Suarez na Daniel Sturidge lazima wapotee!

Ukija ktk viungo wenu, Cotinho, Stearling, Aleyn, Lucas au Stive Gerrad lazima wachemshe na wapotee!

Ukija Kwa mabeki wenu Skirtl, Agga, Johnson au sijui Flanagan hawatoweza kuwazuia Akina Hazard, Willian, Oscar na Eto'o.
 
Msim ujao tunarudi rasmi kwenye uefa ni mwendo mdundo babaaake
 

Ndoto za Liverpool bado zinakusumbua mkuu.....ad gemu ifike cjui utakua na Hal gan, yan atakae kaa mbele ya liv3r kibra inamuhusu
 
Ndoto za Liverpool bado zinakusumbua mkuu.....ad gemu ifike cjui utakua na Hal gan, yan atakae kaa mbele ya liv3r kibra inamuhusu



Yani humu mpk mtanichukia!

Ntaroroma mpk siku ya game mtakua tayari mlishafungwa!

BR anajua kz inayokuja kwake hiyo Tarehe! Kamuulize Wenger na Pelegrini wanamjua vzr Mourinho!
 
Yani humu mpk mtanichukia!

Ntaroroma mpk siku ya game mtakua tayari mlishafungwa!

BR anajua kz inayokuja kwake hiyo Tarehe! Kamuulize Wenger na Pelegrini wanamjua vzr Mourinho!

Naamia kwako, najenga kambi uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…