Hakuna timu ya kumkalisha Chelsea ktk zile zipo top four!
...Unahitajika umakini kabla hujaandika chochote. Kama kuongea kwa domo kuna faida, ni kwann amejingatangta na kurudisha lawama kwa mwanahabari aliyevujisha maneno aliyoyatoa kumkashifu eto?
Kwahiyo Chelsea inaketishwaga na timu za chini ya top four au??
Dah..Ntuzu, LiverpoolFc inakupa presha saana aisee, kwanini usifocus na game yako na PSG na kutafakari kwa kina utaweza vipi kumfunga Stoke city ambaye alikufunga game ya kwanza, na isitoshe tu umetoka kufungwa na crystal palace kwa kudhalilishwa...???
Ila Mkuu Ntuzu kwa ubishi umetisha!!!!...Hands down..
Naikubali sana hiyo formation yenu ya kushambulia kama kifaru.Imemsaidia sana tores mpaka sasa anamzidi magoli skrtel...eheheheheheheheeeee
Hahahahaha! Ama kweli darajani ni sehemu ya kuua vipaji!!
Kombe la Chelsea maana imezifunga liva, man, asenali na man city. Hicho in kigezo tosha!
Acheni uongo! Kupaki gani kimeuawawa darajani?
Wachezaji Wa Chelsea wameimarika Zaidi Alafu wewe unasema tunauwa vipaji? Ebu muangalie Juan Mata! Kafanye nini Kwa Man Utd?
Vipaji mlivoua huvioni ivi etoo angekuwa barca muda kama huu angekuwa na mabao chini ya 20? Torres alikuwa el-nino asa iv ni ukame tupu!! Je umemsahau shev ndo mana sturrdge alshtuka na asa ivi anashkilia nafasi ya pili kwa kutupia angeng'ang'ania darajani asa iv tungekuwa tumeshamsahau!!
huu msimu mtacheza uefa sasa..
Vipaji mlivoua huvioni ivi etoo angekuwa barca muda kama huu angekuwa na mabao chini ya 20? Torres alikuwa el-nino asa iv ni ukame tupu!! Je umemsahau shev ndo mana sturrdge alshtuka na asa ivi anashkilia nafasi ya pili kwa kutupia angeng'ang'ania darajani asa iv tungekuwa tumeshamsahau!!
team chihuahua all the way
View attachment 148485
Osokonoi wewe Hapana mujua Mourinho! Muulize Manuel Pellegrin Kwanini alikataa vita ya maneno na Jose kabla ya game Yake na kusisitiza kiwanja ndio kitaongea?
BTW Mourinho anampenda sn BR Kwahiyo hatoweza kuongea sn Zaidi ya kumpa sifa Zake Kwa kuiokoa Liver Angalau next season mtashiriki UCL! Na ukumbuke kwamba tangu BR aichukue Liver hakua anafanya vzr hapo mwanzo na Jose aliwahi kuwambia wamiliki Wa liver Kua BR ni mzuri na apewe Muda na atafika pazuri! Wajua Hilo? Teh Teh Teh Lkn Zaidi ya hapo lazima tuwapige tu!
Narudia tena ile ilikua mbinu Kwa Jose Kwa Adui Zake km nyie!
Acha kurukaruka na kujikomba kwa BR. Tetea hoja yako uliyosema kwamba kubwabwaja kwa domo kaya kunasaidi...Unahitajika umakini kabla hujaandika chochote. Kama kuongea kwa domo kuna faida, ni kwann amejingatangta na kurudisha lawama kwa mwanahabari aliyevujisha maneno aliyoyatoa kumkashifu eto?
Teh Teh Teh Teh
Skrtel siku hiyo lazima aombe po! Kwi Kwi Kwi Kwi! Na hivi nyonga yake ngumu km ya Agger!