Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
naona anawalia timing tu..Liva mkienda hadi kipindi cha pili hamjamfunga morinyo itakua imekula kwenu maana akirudi lazima aweke garimoshi la mizigo mizito
Tumenyimwa penat ya waz chelsea
hili ni tuta ila refa hataki mbeleko..
Liva mkienda hadi kipindi cha pili hamjamfunga morinyo itakua imekula kwenu maana akirudi lazima aweke garimoshi la mizigo mizito
Hakuna tuta pale
mkuu hilo gari mosh lipo toka dakika ya 2 na to be honest Liver inabidi wafanye kazi ya ziada kupata gori maana hili contena ni zaidi ya lile la Big Sam.
naona anawalia timing tu..