kwa mwendo ule,Fantastic captain lazima atafutiwe mbadala fasta,he's tired now,hata akicheza acheze dakika 60 tu season ijayo! Ishu ni kwamba,who is to replace him?
Tatizo letu watanzania, ni kuzikubali na kuzifuata ideas au comments za pundits wa kizungu bila kushirikisha mawazo yetu binafsi!!!
Katika game mbili za England kwenye WC, sijaona makosa yoyote ya Gerrard, walichokosea England, ni ufinyu wa tactics za ushindi kutoka kwa Roy, Kwa mfano kwenye game ya uruguay, sikuona umuhimu wa kumpeleka RS wide, wakat kwenye game ya italy alcheza vizuri number 10, and how can u start Welbeck badala ya Barkely?..Hendo alikuwa anafanya kipi, zaid ya kupia square passes tu?, kwann asingemwingiza Wilshere ili amakamlaisishie kazi SG?..Game ya kwanza Rooney alikuwa ni mzigo kwenye kwenye team, lakin kwa kuwa pundits wengi wa england wenye mlengo wa man utd hawalipigia kelele sana hilo, basi na watu humu ndani hamjaliona hilo, baines alikuwa flop kwenye game ya italy, magoal yote yalitoka upande wake..
But, leo ule mpira alioufrik SG, ndo umeleta maneno kuwa SG kachoka!!!!!..
SG, msimu huu kacheza game zaid ya 51 katika ngazi ya club, na he played katika defensive role, alikuwa na kazi ya kuwacover kina MS, na kazi ya kuhakikisha mipira inawafikia kina Diaz, alikuwa na kazi ya kuzuia na kutibua moves na mashambulizi ya team pinzani katika League NGUMU kabisa duniani, he had to battle with the likes of Fernandinho, Ramirez, Flamini, Matic, Wanyama, Barry, Mccarthy, Dembele, Sandro, Akiwa na umri wa miaka 34, amecheza kwa nguvu game zote 33 za PL alizocheza msimu huu, kama kiungo mkabaji, na alienda Brazil kuiongoza England, je kina rooney na kina henderson gave him enough support??.No?, lilikuwa ni kosa lake Barry kutokuitwa kwenye kikosi na Roy?..No!..lilikuwa ni kosa la SG, kwa roy kuiga mfumo wa BR, na wachezaji aina ya Welbeck na kina jagielka?..No!..Ilikuwa ni kosa lake Roy kubadilisha role za RS, Barkely na lallana walivyoingia uwanjani?..No!..Lilikuwa ni kosa la SG, Roy kumprefer Hendo dhidi ya Wilshere?..No!..welbeck dhidi ya barkely au lallana?..No!..baines dhidi ya Ashley cole?..No!..au kuforce combination ya Cahil na jagielka kwenye WC?..No!.. so why blame SG?
Na inashangaza kuona kila sehem waingereza (manure, chelshit, Arsenal, spurs, everton etc fans), wanamlaum SG kwa kutokuwa na impact yoyote, je Xavi, iniesta, xabi alonso, Diego costa, Pedro, Burgos, walikuwa na impact gani kwa spain?, CR7 (mchezaji bora wa dunia) alifanya kipi dhidi ya Germany?, Rooney zaidi ya lile goal, alikuwa na impact gan kwny WC hii, hasa hasa game yao na italy?..Andrea Pirlo, kwenye game yao ya Jana dhidi ya Costa rica, alifanya kipi? alicomplete pass ngapi?..na ikumbukwe pirlo ni tofauti na SG, yeye anacheza katika free role, afu anakabiwa mipira na kina De rossi na kina verrati..lakina jana dhidi ya costa rica he went missing!!, lakin angekuwa SG, ingekuwa balaa sana!
SG, ameanza kuichezea LFC, tangu akiwa na miaka 17, katika miaka yote hiyo mpk sasa 34, kuna vipind alishacheza mpaka number 2, na anacheza kwa nguvu ile ile, kwa sababu ya mapenz yake kwa team..at the age of 33, he agreed to play katika defensive mid, coz Lucas was not impressing anymore, and he played better than lucas did for the past 4 years...Amecheza role ngumu kwenye kikosi kilichokusanya wachezaji wa kawaida sana, tofaut kama angecheza hivyo Man city, Barca, madrid, bayern au chelsea..
SG, hajachoka, BR, alshasema, baad a ya WC, LFC wataangalia mustakabali wa SG kuhusu kustaafu kuichezea England..
Bado ana muda mrefu sana wa kuichezea LFC..
England ni team mbovu tu, ilishindwa kutamba enzi ina kina Becks, owen, SG kijana, Haiwez kutamba sahiv ina kina welbeck na sturridge, na beki aina ya Jagielka!