kutwaa ubingwa we need an X-factor and Bony sio na sloppy Gee alishajimalizikia, people like Reus, wangetufaaTukimpata left back Moreno na tukimpata Bonny Liverpool itakuwa bingwa!!
Biashara ya Moreno imekuwa ngumu.
jamani naskia barcelona wameanza choko choko kwa branaghan...afu hajasafiri kabisa na team kwenda denmark..na he's not injured at all..ni dunn tu ndo alikuwa reported kuwa injured....
Isije ikawa ayre kishafanya yake..manake mtu huwez tu kusafiri mpaka spain eti tu kukamilisha loan deal ya aspas!!!!!!!!!
Ntaumia sana kama wakimuaffload branaghan...
Afu barca nao watuache bhana!!!
Kuna option ya Davies wa Swansea kama Moreno haji!Left back anatakiwa sana maana Enrique ni liability ingawaje akiwa fit ni mzuri sana
Haya mamilion ya Suarez hatuwezi mkosa striker mzuri!Namuamini sana B.R!Hata Muller ukienda na hela nzuri wanamtoa maana alikosana na Pep na kaja Lendo
do you mean jon flagan or,,,,,??????
Mkuu, Gerrard ameshazeeka sasa na yeye kubaki kucheza week in, week out kutatupozesha points za bure. Last season alicheza vizuri lakini kumbuka ni henderson ndo alikuwa anafanya kazi yote, mimi naona kuliko kusubiri hadi a-retire, tuanze kum-phase out this season. Can ni noma..jamaa anacheza defensive MD with discipline and hard-work.all new signings seem promising, but i dont see emre replacing gerro as yet, i see henderson doing the holdin and if i was BR, i would hive agger or kolo toure chance ya kucheza holding kumsaidia slippy Gee
we dont need a new CB but if we get Lovren then we should sell or release Kolo and Tiago LLori, they will be surplus because both sakho na lovren are young
My best player ther hujamuweka,anaitwa Joao Carlos Texeira! Safi sana huyu dogo,hebu muangalie kwenye game yetu na Brondly leo saa moja jioni,utaniambia.
AC MILAN wameshusha bei ya Mario Baloteli mpaka kufikia $14M.So Liverpoolfc looks to sign him within the coming week.
Tukimpata left back Moreno na tukimpata Bonny Liverpool itakuwa bingwa!!
Bony ni striker wa second tier team kama Everton..akija Liverpool ategemee bench au kuwa second striker. Ni mzuri lakini he doesnt have enough quality to lead us to prosperity. Alafu yupo slow..mpira wa Liverpool ni fast paced, mtu kama Bony hawezi fit in.
Biashara ya Moreno imekuwa ngumu.
Sasa kwenye hii market ya sasa ilivyo saturated na akina Mourinho tutampata nani recognized striker achukue nafasi ya Suarez?
Sasa kwenye hii market ya sasa ilivyo saturated na akina Mourinho tutampata nani recognized striker achukue nafasi ya Suarez?
Griezmann yule mfaransa..na Benzema yupo unhappy nasikia. Inabidi tu aim top quality, si hawa wa kawaida kawaida.
Mario Baloteli is the best option available wakuu.
Benzema akija daaah mapema kabisa Jogoo la Anfield anawika!Niliwahi soma kuhusu Pedro sijui ilifikia wapi?Pedro anajua sana kutupia kambani yule Latino
Pedro tayari Baca wamemtoa kwa mkopo club moja ya ureno