Sijui kwanini waswahili hawataki kuamini hili suala
Skrtel nae ana makosa mengi sana!Alitoa bao 2 na Fulham, bao 3 kwa Swansea na bao moja kwa Newcastle!Do not write off Sakho na Agger guys!
Fanyeni uchunguzi games alizocheza Agger na mmoja wao ndiyo nyingi tulipata clean sheet
Skrtel nae ana makosa mengi sana!Alitoa bao 2 na Fulham, bao 3 kwa Swansea na bao moja kwa Newcastle!Do not write off Sakho na Agger guys!
Fanyeni uchunguzi games alizocheza Agger na mmoja wao ndiyo nyingi tulipata clean sheet
Skrtel huwa anafanya faulo nyingi za kipuuzi hasa kwenye kona, sema ana bahati sana marefa huwa hawamuoni.
Tuendelee kuelimishana kaka;tutafikia tu muafaka wa kuwa page moja!
Mkuu una habari yyt wa striker wa maana kuja Liverpool na beki 3 tunayehitaji mno kabla ya EPL kuanza?
Mkuu,sina jipya ndugu yangu! Zaidi naona kocha wetu anaendeshwa na matukio.(anasema anaweza kusajili hata mwezi january akikosa mchezaji sasa)
January umeachwa points 10+ na mshindi wa 4 huwezi rudi kupata nafasi ya CL!
Anza ligi strong uvune points za awali kabla team hazijaimarika
SOUTHAMPTON FC
Shaw
Lambert
Lallana
Lovren
Chambers
Jay Rodriguez & schedarin (reports zinasema wanajoin Spurs)
You can imagine Mashabiki wa So'ton wapo katika hali gani sahiv.
Maskini Southampton wamekuwa shamba la wengine. Haya ndo matatizo ya timu isipokuwa na pesa za kushindana na timu kubwa. Jamaa wangekuwa na pesa wangewatunza kina Garreth Bale, Walcott, Chamberlin plus waliondoka mwaka huu, timu yao ingekuwa kali. kwa mwendo huu Southampton lazima itashuka daraja msimu huu maana nusu ya first eleven yote imenunuliwa plus kocha wao na bado kuna uwezekano kina Jay Rodriguez na Morgan Schedarin wataondoka. Itawachukuwa muda mrefu kujenga timu kama waliokuwa nayo.
Maskini Southampton wamekuwa shamba la wengine. Haya ndo matatizo ya timu isipokuwa na pesa za kushindana na timu kubwa. Jamaa wangekuwa na pesa wangewatunza kina Garreth Bale, Walcott, Chamberlin plus waliondoka mwaka huu, timu yao ingekuwa kali. kwa mwendo huu Southampton lazima itashuka daraja msimu huu maana nusu ya first eleven yote imenunuliwa plus kocha wao na bado kuna uwezekano kina Jay Rodriguez na Morgan Schedarin wataondoka. Itawachukuwa muda mrefu kujenga timu kama waliokuwa nayo.
nimeongea jana hapa, kuhusu hii saga ya Remy, kina The Magnificent na rubaman wakawa wanaona kama nalalamika sana!!
Remy KATOSWA kwasababu ya BORINI..
Na ni upuuzi kuona unamtosa mchezaji ambaye alikuwa na uwezo wa kufikisha magoli 15-20 akicheza na kina Anita, boby zamora, Sissokho, Ameobi..kwa ajili ya mchezaji ambaye kacheza na kina luis suarez, SG na kina Phill..na hakufikisha hata magoal ma3..
Vyombo vya habari vinamtia kiburi sana BR, anajiona kama Fergie au Mourinho..Atafeli vibaya sana.
Mkuu
Wanyama pia anaondoka,teams kadhaa za Italy zinamhitaji
Na kuna yule jamaa Osvaldo nilisikia anatakiwa na timu moja Italy. Inasikitisha kuona wachezaji wote wanaondoka katika msimu mmoja.Faida na hasara ya kuwa na academy nzuri kuliko zote England.
Lovren nilidhani £16m kumbe £20m?
Kuna utani sababu za Remy kutoswa
1.Sio mwingereza
2.Hajatoka Southampton
3.Torres aliuzwa akanunuliwa Carol kutoka Newcastle akawa flop,Suarez kauzwa Remy nae last season alichezea Newcastle
True ila neno Waswahili silipendi watu wameliharibu neno Waswahili limekuwa neno la kwa watu Wenye tabia mbaya,ushamba,na mengi ambayo Mabaya zamani halikuwa Hivyo watu tungejifunza kuliheshimu neno Waswahili Kama mwisho wake ni 90's ila ndio ishakuwa hata Mie najikuta nikimkosoa mtu uswahili huo tehtehteh! Ila kweli naona Remy bado tu watu wamekazania Borini ndio ishapita tena afikirie jengine.Sijui kwanini waswahili hawataki kuamini hili suala