Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu

Mwanamke anayemiliki Southampton amerithi £3 Billions kutoka kwa Marehemu babaake.
Unataka Rubaman amtafute namna ulivyomtonya hehehehe kweli kuna wanaozaliwa kwenye Ticket ya bahati nasibu na kuna wanaohangaikia bahati nasibu na wanaoshinda bahati nasibu na wanaozaliwa kwenye Hiyo bahati ila kuitumia hawajui yote life 3billion ? Kiasi Yule mkwe wa Mittal wa Kihindi pale QPR akifanye timu Kama yake kaowa mtoto wa Billionea jamaa anashughulika kuliko Fernandes na QPR anamlisha Harry Rekdnapp na Jamie mwanae pesa mchezo.
 
Hawa bado wapo kwenye radar
Vermaelen
Bony
Lukaku
Lacazette

Ila huyu lacazette ndo anaonekana mbadala baada ya dili la remy ku-fail

Note: Just rumors
 
Just asking..

Hivi hatuwezi kumsajili tena Torres....... 20Mil ni bei che sana.....
 
Just asking..

Hivi hatuwezi kumsajili tena Torres....... 20Mil ni bei che sana.....

Torres wa nini mkuu????
Torres alifanya vizuri kipindi kile kwa kuwa alikua anacheza kama lone straiker huku Gerrad akiwa kwenye peak na Alonso na Masherano wakiwa wameishika midfield vizuri.
Sasa hivi mfumo umebadilika under BR coz tunacheza 4-3-3 ambayo inataka speed na Torres hawezi kufit kwenye hiyo formation hata kidogo.
 
Sawa na Falcao je... Loan monaco wanataka 10Mil then 35Mil next year.... Atakuwa top player...
 
Hivi Vermaleen wa nini tena wakati tuna Skirtel,Agger,Coates,Lovren na Toure??????

Barca wameleta tayari maombi na pound Milion 15 kwa Agger na ndiyo maana kaja Lovren!Nahisi BR hamkubali Agger
 
Hawa bado wapo kwenye radar
Vermaelen
Bony
Lukaku
Lacazette

Ila huyu lacazette ndo anaonekana mbadala baada ya dili la remy ku-fail

Note: Just rumors

Lavezzi ndiyo for sure wana bid leo
Reus anataka kuja maana kaisha waambia BVB kama anataka kuondoka
 
Lavezzi ndiyo for sure wana bid leo
Reus anataka kuja maana kaisha waambia BVB kama anataka kuondoka

Hapo sawa ila itakuwa big move kama reus akija maana tatizo langu ni kwamba hata henry ameonyeasha wasiwasi ingawa amempa BR pesa mingi kwa ajili ya usajili maana anajawa na hofu kwamba isije ikawa kama ya Carol, hivyo isije ikawa rumors run afu tuka muona reus kwenye Jersey kit nyingine..!
 

Reus akija then Lavezi awepo na Moreno mabingwa bila wasiwasi wowote!

My dream team naiona inanukia mkuu maana Reus kawaambia anataka kuondoka na anajua akija anachukua mikoba ya Suarez!
 
Reus akija then Lavezi awepo na Moreno mabingwa bila wasiwasi wowote!

My dream team naiona inanukia mkuu maana Reus kawaambia anataka kuondoka na anajua akija anachukua mikoba ya Suarez!

Sioni dalili yeyote ya sisi kumsajili Reus.
 

Lol kuna waliozaliwa na bahati zao £3billions zote hizo hapo utakuta alikuwa na £millions zake mwenyewe.
 
Reus akija then Lavezi awepo na Moreno mabingwa bila wasiwasi wowote!

My dream team naiona inanukia mkuu maana Reus kawaambia anataka kuondoka na anajua akija anachukua mikoba ya Suarez!

Me na-countdown time tu nione nahisi hili la reus mwisho wa siku itakuwa disappointed kwetu fans

Halafu kuna taarifa yoyote kuhusu kuleta kipa mwingine? Maana hili wengi kama hawalioni hivi
 
Me na-countdown time tu nione nahisi hili la reus mwisho wa siku itakuwa disappointed kwetu fans

Halafu kuna taarifa yoyote kuhusu kuleta kipa mwingine? Maana hili wengi kama hawalioni hivi

Nilisikia muda kidogo kuhusu Rudy wawalioshuka daraja lkn sijaona lolote hadi sasa!

Keeper anahitajika maana Pepe hawzi kukaa team moja na BR
 
REUS REJECTS DORTMUND OFFER

Marco Reus amekataa kuongeza makataba mwingine na klabu ya Borussia Dortmund…..chanzo cha habari ni gazeti la Ujerumani, Bild.

Bild wameripoti kua mazungumzo juu ya kuongeza mkataba kati mchezaji na klabu yalivunjika mwezi wa Tano, na kiungo huyo anaweza kuondoka BVB kwa ada ya paundi millioni 35 kuanzia mwaka 2015, as per release-clause.

Arsernal na Liverpool wakiongoza kumnyemelea mchezaji huyo…….klabu zingine kubwa kama vileB.Munich, Macheza utd na Barcelona haziko mbali sana katika kumnyemelea mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25.

Vile vile kocha wa BVB Juergen Klopp anamatumaini klabu itaendelea kuhold wachezaji wake wawili wenye thamani ambao wanawindwa kwa udi na uvumba na klabu kubwa za ulaya.

"Marco na Hummels wataendelea kuichezea BVB msimu ujao" ninaweza kuwaakikishia kua hakuna dalili zozote kutoka kwa kila mmoja kwamba wanataka kuondoka" Klopp aliiambia Bild.

Wakati huohuo, jumatatu, Dortmund wametangaza kua wanaangalia utaratibu wa kutaka kuuza 5% equity katika klabu yao ili kwamba waweze kujaribu kuklose financial gap na B. Munich.

Ushauri wangu kwa BR……atumie mwanya huu katika kuongeza kasi na nguvu za kumsajili Marco Reus……..Maana inaonekana Liverpool ndio timu pekee yenye mahusiano mazuri na BvB……kulinganisha na timu zingine zinazo muwania Reus.

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…