Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Inasemekana Martin Skirtel amefurahi sana kucheza along Dejan Lovren coz wanaelewana vizuri maana wanatoka ukanda mmoja wa East Europe na wanajuana kwa ishara.

Lucas akiondoka kwenda Napoli basi kuna uwezekano mkubwa Daniel Agger akachukua nafasi yake na kuwa DM.
 

We need Agger!Ligi ndefu sana hii!We need Agger more than any other benched players
 
I expected Lovren to shine... he is a younger Agger even his moves and his positioning, just like when Agger was AGGER... we still need Agger anaweza kucheza namba sita na namba tatu pia

My best surprise ni Manquillo... He played as a winner, hatukupata presha kabisa kwenye ile nafasi yake, alidhibiti game vizuri sana
 
kwani lipoje mkuu...me nafatilia updates hapahapa

Halijapata kufungwa bao kama hili kwa kweli!Zimepigwa pasi nyingi sana hadi Courtihno akamzunguka keeper lkn keeper hakumpa upenyo so akaitoa kwa nje upande ungine kwa Sturridge ambaye nae akawatoka mabeki 2 kwa pembeni akaitoa tena kama V basi Hendo aka slot home the winner!

Nilishangilia mno kama tu FIFA play station!!
 

Nimeliona tayari Malafyale...ila mbona kama ule mpira ulitoka kwanza nje?
 
Last edited by a moderator:
Barua ya Pepe Reina kwa mashabiki, kama hukufanikiwa kuisoma Juzi..Dah! PEPE!!
 

Attachments

  • 1407760724350.jpg
    144.7 KB · Views: 85
Thats good mkuu unajua katika maisha ya kila cku neno GOODBYE halijawahi kuwa zuri kwa mtu yeyote hapa duniani.
 
Sijui nini shida LFC wachezaji wazuri ni gharama... Embu tuone hiyo J5 baada ya mechi na Madrid kama watakamilisha huo usajili......
 
ni kweli mkuu kuhusu Manquillo anaonekana wa ukweli ila Mie new sign ukiwaacha Lovren sababu namjuwa sana na najuwa alivyotulia miguu yote hao wengine hata Manquillo sitoongea sana Tusubiri tuwaone EPL game Kama 5 alafu ndio tu hukumu wa kweli au uozo ila kwa macho kaonekana ndio ila shughuli zikaanza ndio tutajuwa zaidi.
 
Hongereni wadau, hili jukwaa limenivutia sana kama mshabiki nguli wa Liverpool. Ni moja kati ya jukwaa linalojadili mambo ya liverpool kwa undani bila kuingilia club zingine. Kwa kweli nimejifunza mengi sana ndani ya jukwaa hili. Aluta continua
 
Hongereni wadau, hili jukwaa limenivutia sana kama mshabiki nguli wa Liverpool. Ni moja kati ya jukwaa linalojadili mambo ya liverpool kwa undani bila kuingilia club zingine. Kwa kweli nimejifunza mengi sana ndani ya jukwaa hili. Aluta continua

Inasemekana kwamba LFC ndiyo timu ambayo ina true fans wengi zaidi duniani kuliko timu nyingine zote.
Ninaposema true fans namaanisha hawana uwezo wa kuhama hata iweje!!!!

Timu kama Man U,Arsenal,Chelsea,Man City,Real Madrid,Barcelona and the like zina seasonal fans ambao huwa wanashabikia timu kwa sababu mbili tu;
1.matokeo mazuri ya timu.
2.mapenzi ya wachezaji binafsi.

Sasa kwa LFC fans this doesnt exist.
 
Hahahahahahah!!!

MARK CLATTENBURG will referee our match against Southampton..
 
Hahahah!!!

LFC removing picture of Luis Suarez on the Anfield Poster..

WHAT THE F*K TOOK THEM SO LONG?????
 

Attachments

  • 1407776021844.jpg
    79 KB · Views: 96
Hahahah!!!

LFC removing picture of Luis Suarez on the Anfield Poster..

WHAT THE F*K TOOK THEM SO LONG?????

Teh mkuu walijisahau kidogo ila hatukuachana kwa kukunjiana ndita so haina nooma sana!
 
the only concern ni lambert tu, the rest are brilliant
 
i'd rather keep Borini kuliko kumsaini mtu kama Etoo..

Mungu uliye juu naomba U-Block usajili huu, usifanikiwe kabisa, au naomba iwe tu smokescreen..

Eeeh Mola sikia Maombi ya Mja wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…