Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe mkuu Magnificent ni wa kusema hivyo kunihusu mimi?
Ok; najua sasa..maana yake nini maneno yako kusema aachane na mimi..hamtaki wageni hapa kwenu?

Mkuu agosti 8 acha hizo bhanaa...mambo ya mpira kwani huyajui?

Hapa unakaribishwa sana tuuu...distractions and vijimambo ndiyo raha ya mpira…


...ehe ehe ehe ehe ehe eheee...jana naona mlikuwa mnachapa viboko maiti…ehe ehe ehe ehe ehee…
 
pamoja mkuu osokonoi, msalime Mosdef naona yuko bize kutafuta dawa ya kumfunga MAN CITY jumatatu ijayo..ha haha ha..:wacko::wacko:

 
pamoja mkuu osokonoi, msalime Mosdef naona yuko bize kutafuta dawa ya kumfunga MAN CITY jumatatu ijayo..ha haha ha..:wacko::wacko:

Salamu zimefika kiongozi wangu…

Dawa ya manshit tunayo wala Mosdef hana haja ya kukuna kichwa

…si uliona alivyopelekwa na castle mpaka wakawa wanaomba mpira uishe? Spidi ya midfield yetu yaya hawezi kwenda nayo…jamaa kaongeza weight balaa. Yaelekea baada ya kulalamika kuhusu birthday yake, mwarabu alimtumia treni ya keki..ehe ehe ehe ehe ehe ehe eheeee…

Kama siyo kun, manshit walikuwa wakae…sasa sisi tunamkabidhi kwa lovren
 
Nimesikia cotinhno ameitwa kwenye kikosi cha brazil ambacho kipo chini ya dunga.from untrusted source.anyone to prove it.
 

Mkuu, nilisha ongea kuhusu Lucas, nilisema bora angeeanza Allen tena naona bora angeanza Suso kabisa. Lucas auzwe, anajaza bench tu wakati tunawatu wazuri zaidi yake.

Nadhani point yangu ya Gerrard ipo sahihi, Gerrard akiwa bench, Henderson na Coutinho wanacheza more freely na kwa haraka zaidi. Hayo ni maoni yangu.

Sktrel ni defender mzuri lakini nadhani Sakho na Lovren wanawaweza wakacheza centre backs hata kama wote ni left footed. Tangia msimu uliopita, mimi simuamini Sktrel.

Sterling ni mzuri kati kati, hawezi fanya wingers job, ndo maana nadhani BR anamchezesha hapo.
 
Sterling hayupo tayari kucheza kama winger ndo maana anachezeshwa kati kati. Nafasi ya wing tumsubiri Markovic tuone itakuaje.
 
Mie nafikiri LFC Tupo mbali sana kwa sasa ku fight top 4 kwa mpira wa Juzi tunafurahi na kushukuru tumeshinda ila tunatakiwa tubadilike Middle zilikuwa hazielewani aliyecheza vizuri ni Dejan Lovren na Dejan Lovren japo na kucheza vizuri ukiitizama highlight za Dejan Lovren vs Southampton utaona alivunja sheria nyingi za LFC alikuwa akipiga mpira wa kuunyanyua kupeleka wing za pembeni ilikuwa rahisi Southampton kuelewa na kuamua kuvunja Nguvu za LFC sehemu za wing, ndomana Winger za LFC hazikukimbiza zaidi ya hapo Lovren kuna baaazi ya Game ndio inavyotakiwa afanye Hivyo kupiga tu Mbele, Mie sipendi kuona beki akimrudishia sana Mignolet! So kina Skertel watajifunza mengi kwa Lovren, LFC Middle zikiweza kutulia na kupiga Pasi inavyotakiwa ndio tutaenda mbali ila kwa Game ya Juzi Tupo mbali sana hata Top 5.
 
Ndio ameitwa kucheza na USA!
Samahani masahihisho ni ameitwa game kucheza VS Colombia na baadae Ecuador kwenye kikosi cha Brazil ambacho Dunga kawatema nafikiri Dante,Alves na Poulinho
 
Nimesikia cotinhno ameitwa kwenye kikosi cha brazil ambacho kipo chini ya dunga.from untrusted source.anyone to prove it.

Yeah..little phil kaitwa na Dunga, kwenye game ya kirafiki dhidi ya Colombia..
 
Nimeangalia mechi ya Man City Vs Liverpoolfc ya msimu uliopita pale Etihadi nimegundua njia nzuri ya kuwafunga hawa wajinga ni kuchezi mpira wa kasi tu.
Sasa kazi kwake BR kwenye team selection ya cku hiyo.
Naomba mkuu Pazi na Blac Kid pangeni kikosi cha jumatatu kwa kuzingatia mapungufu ya Man City!!!!
 
Very good.....he gonna increases his level of confidence.
True ila pia misafara hii wachezaji wengi timu za Taifa tena misafara Mirefu Mie sipendi game wanachezea United States bora zingekuwa game zao Europe!
 
J3 mbali mungu akituweka hai Jumapili kidogo nitajuwa kikosi ila Lucas asiwepo awepo Emre Can pale kati na ni kweli muhimu nikuwapeleka mbio tu Freekick kibao zitawatokea ila kati tumbo tuwe wakali na Hendo awepo kati nimeona Yaya Toure kidogo bado hajarudi mwili wake umekuwa Mzito Cake za Waarabu kala nyingi itachukuwa muda apungue hata Ricky Lambert anatakiwa apungue.
 

Mimi nilichokiona ni kua kuna mabadiliko mengi ambayo ni chanya....kubwa zaidi ni kua BR kwa mara ya kwanza kabisa ameweza kutumia plan B na ika work positively.alipoona tumezidiwa kwa kucheza vibaya kwa lucas .....akamtoa then akaingia allen na lambert......kiukweli hawa wawili ndio waliweza kubadili hali ya mchezo kwa kiasi kikubwa mpaka tukapata bao la pili.kwa sasa liverpòol tuna depth kubwa ya kubadili mchezo.hata km hatutabeba kombe top four is the must position for us.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…