Nipo natizama uozo hapa Leo game LFC utafikiri yupo voronin na Kinchesky uwanjani utumbo tu sitizami tena game ya LfC kwenye TV wala kusikiliza nitatizama matokeo Rogers thanx kwa kumuondoa Reina Huyu Mignolet na Sakho sina Hamu nao Leo utumbo tu kila siku tutaimba tungefunga Villa tungekuwa mbali mara ya 3 sasa jamiiforum naichukia Leave mpaka Rogers akiondoka.
Hello, mpira umeishaje
| 1 | | 4 | 12 |
| 2 | | 4 | 9 |
| 3 | | 4 | 7 |
| 4 | | 4 | 7 |
| 5 | | 4 | 7 |
| 6 | | 3 | 7 |
| 7 | | 3 | 6 |
| 8 | | 4 | 6 |
| 9 | | 4 | 5 |
| 10 | | 4 | 5 |
FT aston Villa 1 liverpool 0
Hello, mpira umeishaje
Nipo natizama uozo hapa Leo game LFC utafikiri yupo voronin na Kinchesky uwanjani utumbo tu sitizami tena game ya LfC kwenye TV wala kusikiliza nitatizama matokeo Rogers thanx kwa kumuondoa Reina Huyu Mignolet na Sakho sina Hamu nao Leo utumbo tu kila siku tutaimba tungefunga Villa tungekuwa mbali mara ya 3 sasa jamiiforum naichukia Leave mpaka Rogers akiondoka.
Tusiikimbie team sababu imecheza hovyo jamani
Hongereni mmeshinda 0-1