Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Exactly. Nadhani wengi wa wanaomlaumu BR ni kutokana zaidi na frustrations za matokeo ya siku za hivi karibuni.

Those LFC fans who know (rather watched) how the Liverpool of old used to play and dominate opponents would have been more than excited with what they saw last season, thx to BR.

Give BR another 2 years, bankroll him with an Abramovich-esque wallet....you have a "Bayern Munich of EPL" that will wreak havoc across entire Europe!!
 
SG will never help us in DM role,labda hiyo no.10! When it comes to DM role,SG sio mtu wa kumuamini kbs MosDef...binafsi ugomvi wangu na SG huwa upo hapo tu! He's no doubt akicheza kwenye attaking roles...wewe unaweza kuamua kutuita haters utakavyo,but with all due respect kwa SG,hawezi kukaba...anaweza kupiga pasi ndefu na kwa uhakika..
 
Last edited by a moderator:
SG will never help us in DM role,labda hiyo no.10! When it comes to DM role,SG sio mtu wa kumuamini kbs MosDef...binafsi ugomvi wangu na SG huwa upo hapo tu! He's no doubt akicheza kwenye attaking roles...wewe unaweza kuamua kutuita haters utakavyo,but with all due respect kwa SG,hawezi kukaba...anaweza kupiga pasi ndefu na kwa uhakika..
 
Last edited by a moderator:

BR is not a good Manager,Only time will tell..kuna siku ntakwambia hapa kwa nini huyu jamaa sio manager wa level ya LFC,bt unaweza kuamua kumuamini tu
 
Good Manager is a talent and BR has that... Just trust him...

Any team loosing two of ur best strikers suarez gone daniel injures will stragle so relax transition period is there...

SG is old now but we have Can so when all a back haters will zip their mount...
 
Acheni KUMBWELA MASHABIKI MAANDAZI....Rogers ni bonge la kocha. Hivi unategemea nini wakati timu imenunua wachezaji zaidi ya tisa...inahitaji muda wachezaji hawa kuweza kuelewa mfumo wa kocha na kisha mambo yatakuwa safi.
 
Napenda passion na spirit aliyo nayo Lallana he impress me kila mechi akiendelea hivi itakuwapoa sana ila kwa mbali kama gym imuhusu ivi.....

I wish sturridge arudi uwanjani nimemiss scoring zake ingawa kuna time huwa ananikera (selfie), uwepo wake nahisi pia utamfanya hata MB ang'ae pale mbele

I hate sterring now days naona ameanza ku-drop sijui ndo kuchoka.. naona hata pace yake sikuhizi siyo kama last season

Lambert siamini kama anatakiwa kuanza mbele ya MB i think this is childish choice

Manquillo naona siyo muda bechi litamuhusu...hahaha Johnson is back....

Sakho hili bifu alilonalo na BR nahisi dirisha dogo atatolewa kwa mkopo (mtazamo wangu)

I can't wait the come back of Allen and Flanagan

Hii partnership ya Skrtel na Lovren kuna time inanichanganya

Jana tumepata 3 point lakini bado hatuchezi mpira wa kuvutia

Mignolet kwa mbali Jana nimeona anailaumu beki yake i think he starting to grow up..
 
Unajua watu wengine wanataka wafikirie na kuamua kwa niaba ya wengine...binafsi sina imani na BR kwa sasa labda huko mbele akija kubadilika,ntakuwa mshabiki wake! Wengine mnaweza kuwa washabiki wake,i will always have a true love to my team,LFC...not a manager,particularly,BR
 

So wewe ulitaka nani awe liverpool Manager...
 
kusema ukweli Liverpool hamna mtu ambae anaweza akamuweka bench SG kwasababu ni mchezaji ambae anweza akapiga pass ndefu kwa uwakika kitu ambacho hakuna mchezaji ambae anaweza akafanya vitu anavyo fanya SG tatizo la SG ni kukaba kwasababu umri umemtupa mkono so mashabiki wa Liverpool inabidi mpunguze lawama SG kwasababu bado mnahitaji mchezaji wa aina kama ya SG
 
Jaman muachen GERRARD hajawai kutokea na hatatokea mwingine kama yeye...he is my hero
 
BR is not a good Manager,Only time will tell..kuna siku ntakwambia hapa kwa nini huyu jamaa sio manager wa level ya LFC,bt unaweza kuamua kumuamini tu

sawa

ulikenua sana mwaka jana nashangaa leo unanuna... it ok!! ndivyo tulivyo... he is the only manager who submitted a strategic plan (with timelines) for the club, he outlines his plan in articulate way and he is following it, a young guy respected by every EPL manager, but because ya bad patch hata wewe usiyejua how hard it is to manage hata timu ya VPL unaongea... it is OK, wamarekani hawana ujinga angekua ambaya wasingemlea

He may be having his weaknesses especially his ego, but RB is worse, he is bad in PR and man management skills

He just got it right because Gerrard Houlier assembled a great squad, kuna post humuhumu on how rafa bought garbages
 

he is the only manager aliyelinganishwa na Shankly

it doesnt come that easy

respect
 

I have chosen to quit this discussion,kila mtu abaki na lake kichwani mwake.
 
he is the only manager aliyelinganishwa na Shankly

it doesnt come that easy

respect

kumlinganisha BR na Shanky ni ukosefu mkubwa sana wa nidhamu kwa shankly,na aliyefanya kitendo hicho alaaniwe milele! This man has won nothing to us,hana trophy yeyote ktk managerial carrier yake!! Tutaanza kumlinganisha na Shanky atakapoleta atleast 2 UCL trophies,5 BPL trophies,FA and league cups! Afu kuna wapuuzi hapa watasema umri wake mdogo,hivi Diego Simione,Judgen Klopp wana umri gani?? Na hawanunui makombe kama akina Morinyo! Nataka kuona BR anafanya kazi field,tunapata matokeo uwanjani,basi! U cant criticize your own player(Balotelli,Dagger,Downing) kwenye media afu utegemee matokeo mazuri
 

are you sure shankly hakuwahi ku-criticize players?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…