Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Ha ha haa duh MTM umenikumbusha mbali, Mwenge shooting? hivi hawa ndio walikuwa wale akina Edi An-dalla?
 
Leo tena ni siku ngumu kwa rafa na vijana wake, bado hatujakata tamaa tunaisapoti liverpool ingawa hapa jamvini naona nimebaki peke yangu!!! prediction tunashinda very easily na ninaomba the scums watoe droo na arses ili japa zile maksi kati ya mtu wa kwanza na wa saba zisiwe tofauti sana!!!

Wako wapi the cops??
 
Kwanini hataki kumchezesha Aquilani na mtu keshapona sasa? Au anasubiri mpaka mtoto wake Lucas aumie ndio amchezeshe?
 

Tupo mzee, naamini tutashinda japokuwa everton wanazidi kupata comfo mda unavyozidi kwenda. Hili la Aquilani hata mi simuelewi Rafa.
 
Tupo mzee, naamini tutashinda japokuwa everton wanazidi kupata comfo mda unavyozidi kwenda. Hili la Aquilani hata mi simuelewi Rafa.

Sijui aquilani ana nini, labda garasha jingine kama lucas
 
Sasa ndo hata kumchezesha tumuone kama kweli bomu, mbona lucas anampanga kuwe na mvua, jua hata snow
 
Kidogo tumepumiwa leo..kila siku kutupandisha pressure.

Hayo ndio majaabu ya Rafa...kumnunuwa mchezaji kwa bei ghali then kumweka ubaoni na kisha pona tayari.....Sasa hivi anasema hapa kwenye interview ati mechi leo kali ni derby na Aquilani bado hawezi kucheza mechi kama hizi
 

Mkuu Rafa may be right, ni yeye na daktari wa tu wanajua hali ya jamaa,
 
Mybe so tutasubiri mpaka hapo atakapopewa green light na doctor kumchezesha.....

Vipi kuhusu Van Nilstroy atakuja anfield au keshakwisha yule? Unaonaje atatufaa?
 
Mybe so tutasubiri mpaka hapo atakapopewa green light na doctor kumchezesha.....

Vipi kuhusu Van Nilstroy atakuja anfield au keshakwisha yule? Unaonaje atatufaa?

Sasa na huyu naye si permanent member wa clinics? Yaani hebu angalia, Gerrard, Torres, Agger, Aquilani, Skertel, Riera, Yossi, Babel, sasa tunaongeza Ruud!!! Kweli itabidi wapanue wodi yao!!!

Halafu kuna mijitu mibovu na haiumii - Lucas, Carra Hawa ni kuwachapa vipapai tu
 


Hahahah! umesema kweli hapo mkuu.

Bora hicho kipapai apigwe nacho Lucas tu Carra anaharibu sometimes lakini bado tunamhitaji....
 

Alafu unajua kuna wachezaji uwa siwasikii wakiumia ata siku moja wao kukosekana kwenye listi labda iwe kwa sababu ya kufungiwa.
 
Alafu unajua kuna wachezaji uwa siwasikii wakiumia ata siku moja wao kukosekana kwenye listi labda iwe kwa sababu ya kufungiwa.

Mkuu yaani haya mambo sijui vipi.... vijamaa vibovu na kocha kila siku anavipanga!!! nadhani vitakuwa vichawi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…