Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

CUNTS wamevamia thread!!

Achana nao hawajui mpira hawa!Shabiki anaye chekelea kumfunga Marlboro unabishana nae wa nn kaka?

Chelsea hii ya Terry itamsimamisha kweli Madrid huyu?Sasa mtu shabiki mbele ukweli nyuma unaongea nae nn kaka? Ntuzu agosti 8
 
Last edited by a moderator:
Yaaaaaah Nafikiri huu ukweli Ndio unakufanya useme hivyo:

Chelsea ni timu pekee msimu Huu kwa England Ambayo haijafungwa ktk mashindano yote mpk Sasa.....!

Bunley
Leiceister
Everton
Palace
Marlboro
Porto
Arsenal
Swansea

Kweli kuna team hapo ya kujivunia?
 
JAMANI BR KAWAJIBU TAYARI KWENYE #LiverpoolEcho ..AMESEMA LIVERPOOL HAI-HITAJI DEFENSIVE COAH
 

Attachments

  • 1414108165458.jpg
    82.2 KB · Views: 100
Ni kweli kabisa mkuu,tuliuza torres tukanunua carroll now suarez out ballo in!!
 
Wakuu,nimemsoma BR kwenye ECHO,kaongea pumba tupu,na ameendelea kuni disappoint,anasema eti LFC haihitaji Defence Coach,inachohitaji ni Training time kitu ambacho timu haikipati kwa sasa kwa sababu timu ina game nyingi sana! Huyo ndo BR wenu na EGO zake,sasa swali langu kwenu washabiki wa Rodgers badala ya LFC ni hili hapa,last season we had a single match a week,and we still coincided more than 50 goals,pia hawakupata training time?? Malafyale Janjaweed na Tisha-TOTO,nisaidieni kujijibu haka ka swali!
 
Last edited by a moderator:

BR toka afukuzwe Reading alisema timu yyt anayokwenda HAWEZI kufanya kazi tena na DIRECTOR of football na any departmental head coach!Nafasi hizo zilimsumbua sana alipokuwa Reading!

BR anataka madaraka yote yawe juu yake tu na hapo kathibitisha haya!

Worry not next features na Hull City then na Newcastle tunawafunga easily na tutaanza kumpenda tena BR
CC MosDef
 
Last edited by a moderator:

Loading...but for sure,i always want us to win games,but if not wining,let us not lose! Napita ktk kipindi kigumu sana ktk maisha yangu yangu ya kuipenda LFC.
 
Last edited by a moderator:
Ukishaona ameiongelea maana yake kuna pressure toka juu... atachukua one of the previous players, most likey Phil Thomson au Carra utashangaa anapiga kazi kama coaching staff but ndio itakua tayari hivyo

His position now pushes for a sporting director, kwasbabu ameshindwa kuona nje ya box, he is smart but stubborn...

Personally, i think missing Xabi or any other storng defensive middle imetucost kuliko kuondoka kwa Suarez, in addition, signing ya akina Mrkovic, haijampa heshima labda tusubiri kwani hata Joe Allen and Henderson wakua nyanya tu

I will give him two more years before letting him go... msimu huu top ten tunayo na kama tutacheza vizuri january na kusain one striker and one holding middle tutaweza kufika mbali

Timu haiko vizuri, but individual player are super gifted

maybe we should #bringbackourboys#Origiibewisdom# and kick out passengers like Balo, Lucas, Glen, Borini
 
u r not serious man! sasa mlivyofika nusu kwanini hamkupitiliza hadi fainali? na kwanini hamkubeba kombe? ishu hapa sio kufika wapi ishu ni kuchukua ndoo mkuu
 
Bunley
Leiceister
Everton
Palace
Marlboro
Porto
Arsenal
Swansea

Kweli kuna team hapo ya kujivunia?

Ongeza na hizi

Man City

sporting Lisbon

Shalke 04

Mbona hizi hukuziweka?
Alafu panga na wewe timu ulizocheza nazo na matokeo Yake pia tuyanone.....!
 
Hiyo beki inayoongozwa na Terry Ndio haijafungwa magoli mengi km ya LFC



Achana nao hawajui mpira hawa!Shabiki anaye chekelea kumfunga Marlboro unabishana nae wa nn kaka?

Chelsea hii ya Terry itamsimamisha kweli Madrid huyu?Sasa mtu shabiki mbele ukweli nyuma unaongea nae nn kaka? Ntuzu agosti 8
 
Last edited by a moderator:

James Pearce ni bonge la PRO-RODGERS, lakini nae kamuua BR kuhusu Defensive Coach...Kila mtu anaona jinsi LFC ilivyokuwa Mbovu katka defence..yale magoal ya 2 na 3 ya madrid ni kichefuchefu hata kuyaangalia!!!!

afu eti anasingizia training Time...Really???? we ni manager wa LIVERPOOL FC for god sake, LFC syo Swansea au Reading, unafundisha team kubwa sana...Afu unakuja kuwaletea mashabiki lame excuses kama hizo..eti training time haipo...Kwahyo wenzako wengine ambao nao wapo kwenye michuano mingi kama LFC nao hawapat hyo training time??..mbona defence zao zipo vizuri????
 
Last edited by a moderator:

Rumuor has it kuwa Saturday dhidi ya Hull city anaweza akamwanzisha Lambert mbele kama hataOpt kumchezesha RS kama false No.9...

So angalia tu, USIJE ukaumia zaidi!!

Aliacha Historia mbaya sana kule READING, na asipoangalia itamjia na HUKU LFC..
 
Last edited by a moderator:
BIB theory ya kwenye training leo, inaonyesha watakaoAnza kesho ni;

Mignolet
Manquillo
Lovren
Skritel
Moreno
SG
Allen
Emre Can
Lalllana
Sterling
Balloteli
(walivaa ORANGE bibs)

PC, GJ, Hendo, Marcovic, Borini, Lambert,etc (hawakuwa katika ORANGE bibs)
 

Hivi Sakho kaumia au bado matatizo yake na BR hayajawa solved?Huyu Lovren has to be benched anatuumiza sana kwa kweli!!

Hendo aanzie nje na Hull City wanaokimbiza sana?This is more than a joke kama kweli
 
Hivi Sakho kaumia au bado matatizo yake na BR hayajawa solved?Huyu Lovren has to be benched anatuumiza sana kwa kweli!!

Hendo aanzie nje na Hull City wanaokimbiza sana?This is more than a joke kama kweli

Yaana hendo kuanzia bench ni ndoto za kusadikika.....mshikaji hua ana tutoa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…