Baada ya kusemwa sana hatimaye jana amefanya kitu......BTW hongereni sana kwa ushindi wa jana.
Kwa upande wangu mimi jana kuna wachezaji walicheza vizuri sana......mfano:-
1: FB (rating 8.5)
Aise jana kapigana dogo......nacho omba Mungu.....BR aendelee kumpanga ata akianzia benchi poa ili mradi acheze walau dk 30 za mwisho....the guy can change the game.
2:Contihno ( Rating 7.5)
Kijana jana kacheza sana....sasa hivi ni roho ya liverpool....hua sioni kwanini BR hua anamsub dk ya 65 - 70? kijana ana control ya kufa mtu.....mwepesi na ana jaribu kushot pindi anapo pata nafasi.....Jana Lambert kamuangusha sana.
3: Henderson (rating 7.5)
Jamaa anakila sababu ya kua vice captain......sasa hivi amekomaa jana kama kawaida yake alimiliki dimba la kati vizuri sana.
4:Toure (Rating 7.0)
Jana kanipigia kazi ya kufa mtu.....amenikumbusha toure yule wa mwaka 2006 pale highburry......kacheza sana.
5: GJ (rating 7.0 )
Jana GJ alikua anapanda na kushuka....hakua mvivu kama siku zote na alipiga shuti moja nilijua ni goli.....jana alisuuza roho yangu.
6: Jones (rating 6.5)
Alikua imara golini alifanya great saves kama mbili za hatari sana.....kiujumla alifanya makosa machache sana.akiendelea kupewa nafasi ataimalika na tutamsahau reina.
7: Maq (rating 6.5)
Dogo ni mzuri jamani.ni fighter mzuri.alicheza vizuri sana.
8: Mario 45 (rating 6.5)
jana kaonesha kua yeye ni striker na anaweza kubadili matokeo ya game muda wowote.....LFC fans we need to support the guy....in whetever way.....bolo45 na borini wanaelewana sana.
9: Markovic (rating 3.5)
Hii kwangu ni takataka kabisa......sioni anachofanya uwanjani....infact he needs to step up his game iliaendane na kiwango cha hela alichonunuliwa.
10: RL (rating 3.5)
naye jana hakuonesha makali yeyeto.....ataendelea kusugua benchi DS atakaporudi uwanjani.ila jana alitoa pasi kama 3 zenye akili....but he still can fit in liverpool squard.
11: Lovren
Sitomzungumzia.....maana sikumuangalia kwa jicho la tatu.....nilimuona anafunga goli tu.
Maoni yangu Binafsi kwa BR
its time BR should stop appeasing or mollifying SG8. one thing very apparent from yesterday game is that the team has a lot of more vibrancy & flow to the game without Stevie G.
YNWA
Mkuu Torres, utakuwa hujamtendea haki Lucas Leiva kwa kazi aliyoifanya jana ya ku-protect back huku akiwa anawapa nafasi tofauti na SG ambaye anashuka sana deep ambapo back 4 wanakosa room ya kutosa. Ujue midfield yetu inaonekana nyanya kwa sababu SG siyo dirty player kwenye kwenye defensive midfield niliwahi kusema hapa we need to deploy Leiva ahead of Gerrard yaliyo nikuta nikawa mpole tu
Kwenye mechi na West Brom, kipindi cha pili alipoingia Lucas na SG akapanda mbele mliona nini cha tofauti pale SG anapokuwa kwenye defensive role? Kile ndo kitu ambacho nilikuwa wish BR afanye the Countinho apewe free role iwe anatokea popote katikati kushoto au kulia ataweza ku-create more chances na ku-score
Jana timu ilicheza vizuri ila tuna hitaji consistence performance
Mkuu mak89, Lambert sjui kwann tulimnunua...(i dont know, maybe someday he'll deliver)
Lakin we have to praise BORINI kwa perfomance yake today..dogo kacheza sana Mpira, he was So eager to impress the manager and the fans na amefanikiwa saaana!!
tatizo ni kwamba kwenye first half na second half mpk dk ya 79 alikuwa anacheza na Lambert (deadwood)..lakin si uliona MB alivyoingia, team ilibadilika, FB na MB walielewana vizuri sana..i think BR ataendelea na Diamond dhidi ya Newcastle, with FB and MB upfront..those last 10 minutes were magic, showed the power of Diamond formation!!!!
Pamoja na performance iliyoonesha na kikosi cha jana, ingawa asilimia kubwa kilikuwa kikosi B, nina uhakika game ijayo Super coach BR atakivuruga tena kama kawaida yake ya kupenda kujaribu. Formation atabadili tena, PC ataanzia bench, Raheem atarudi kikosini, LL atarudi tena bench, SG atachukua namba yake, Borini atarudi alipotoka, Manq au CJ mmoja atatokea bench, Moreno atarudi kikosini.
Nimecheka balaa, BR ni arrogant watu wamempigia sana kelele kuhusu hiyo 4-2-3-1 ila alikuwa bado hasikii mpaka mechi na west brow kipindi cha pili mwishoni naona ndo kapata akili, kama unakumbuka huo mfumo hata Sturridge ana struggle alikuwa anautumia mwanzoni mwa msimu uliyopita kabla ya Suarez kurudi je kuna mechi hata moja ya ligi tulishinda zaidi ya goli 1???? Hiyo formation alikuwa anaiweza Suarez tu maana alikuwa na akili ya ziada ya kutafuta ushindi hata kwa kushikisha mabeki kwenye box
Kuna siku nilisema hapa BR anapenda sana experiment kikosi cha jana kitakuwa tofauti sana cha jumamosi na Newcastle watatuonyesha cha moto
Kwa upande wangu mimi jana kuna wachezaji walicheza vizuri sana......mfano:-
1: FB (rating 8.5)
Aise jana kapigana dogo......nacho omba Mungu.....BR aendelee kumpanga ata akianzia benchi poa ili mradi acheze walau dk 30 za mwisho....the guy can change the game.
2:Contihno ( Rating 7.5)
Kijana jana kacheza sana....sasa hivi ni roho ya liverpool....hua sioni kwanini BR hua anamsub dk ya 65 - 70? kijana ana control ya kufa mtu.....mwepesi na ana jaribu kushot pindi anapo pata nafasi.....Jana Lambert kamuangusha sana.
3: Henderson (rating 7.5)
Jamaa anakila sababu ya kua vice captain......sasa hivi amekomaa jana kama kawaida yake alimiliki dimba la kati vizuri sana.
4:Toure (Rating 7.0)
Jana kanipigia kazi ya kufa mtu.....amenikumbusha toure yule wa mwaka 2006 pale highburry......kacheza sana.
5: GJ (rating 7.0 )
Jana GJ alikua anapanda na kushuka....hakua mvivu kama siku zote na alipiga shuti moja nilijua ni goli.....jana alisuuza roho yangu.
6: Jones (rating 6.5)
Alikua imara golini alifanya great saves kama mbili za hatari sana.....kiujumla alifanya makosa machache sana.akiendelea kupewa nafasi ataimalika na tutamsahau reina.
7: Maq (rating 6.5)
Dogo ni mzuri jamani.ni fighter mzuri.alicheza vizuri sana.
8: Mario 45 (rating 6.5)
jana kaonesha kua yeye ni striker na anaweza kubadili matokeo ya game muda wowote.....LFC fans we need to support the guy....in whetever way.....bolo45 na borini wanaelewana sana.
9: Markovic (rating 3.5)
Hii kwangu ni takataka kabisa......sioni anachofanya uwanjani....infact he needs to step up his game iliaendane na kiwango cha hela alichonunuliwa.
10: RL (rating 3.5)
naye jana hakuonesha makali yeyeto.....ataendelea kusugua benchi DS atakaporudi uwanjani.ila jana alitoa pasi kama 3 zenye akili....but he still can fit in liverpool squard.
11: Lovren
Sitomzungumzia.....maana sikumuangalia kwa jicho la tatu.....nilimuona anafunga goli tu.
Maoni yangu Binafsi kwa BR
its time BR should stop appeasing or mollifying SG8. one thing very apparent from yesterday game is that the team has a lot of more vibrancy & flow to the game without Stevie G.
YNWA
Kitu kingine nilichokiona jana wachezaji wenzake wanamkatisha sana tamaa Coutinho, hadi akatoa somo kwa Rickie. PC anawapa pasi za mwisho nzuri sana zile za kutanguliza kwenye njia ila wanaopewa sasa wanasubiri mpira uwakute au awapelekee mpira walipo. Mipira mingi sana imepotea toka kwa PC kwa mtindo huo hadi akawa analalamika kwa kumuoneshea Rickie "ungepita hapo". Kwa kikosi chetu hiki mtu ambaye ataweza kuchezeshwa nae ni Sturridge tu hawa wengine sidhani labda kidogo Borini.
Mkuu MosDef, we need MB to be involved more into the box, na siyo kila sehemu apige mashuti na aache kujifanya nyanya kama jana ile headbutt na Jonjo wakati yeye yupo chini tulikuwa tuna-attack wakashindwa kutoa krosi kwa sababu MB alikuwa chini. Leo english media zimem-praise ila akivurunda tu wane
Jana nimefurahishwa na performance Lucas unsung hero, ila mi nashindwa kuelewa kwanini mashabiki wa liverpool wanam-underrate Lucas kama watakumbuka vizuri mascherano kuondoka lucas amefanya kazi kubwa ya kui-shield back 4 mpaka alipoumia akakaa nje msimu mzima na ndiyo msimu tulikuwa wa 7. Statistically Lucas na Carrick ndo walikuwa na tackling nyingi Epl ila bado watu hawataki kuliona hilo.
Hizi signings za Rogers na rumours nazo sikia daah we have a long way to go to perfection, Lazzevi sidhani kama atakuja na kitu cha kuadd kwenye timu yetu, kulikuwa na rumours kuwa alikuwa anamtaka anadhani angekuwa wise choice than markovic ni yule dogo mbrazil hannover fermino, kwenye attacking line yetu jackson martinez wa porto atatufaa sana, kama anasubiri striker awekwe sokoni atangoja sana.
BR should bring back Ibe na illori
Lucas wakat anakuja kutoka Gremio alianza vibaya sana, coz EPL ilikuwa mpya sana kwake..but baadae akaja kuimprove na nakumbuku wakat yupo kwenye peek, alikuwa ni one of the best DM kwenye EPL, but baade majeruhi yakaja kumuharibu sana..akarudi kuwa Lucas wa mara ya kwanza...Under Benitez na Daglish, LL alikuwa ndo DM na SG alikuwa kwenye free role au number 10..
Lakin under BR, akawa anforce LL acheze sambamba na SG katikat, ambapo LL alikuwa anacheza kiungo cha pemben..kitu ni kigumu kwa Lucas..yule ni typical DM, ni kama Gustavo, Reges, Etc..ukimtoa kwenye DM lazima apotee...
But sahiv tuna Emre Can, so nadhan nafas ya LL inazid kuwa finyu kwenye kikosi..coz sahiv BR atakuwa anaenda na SG, JH na Emre Can..the reason kwann Hull city hawakuisumbua beki ya LFC weekend ilyopta ni kwasababu Emre Can alikizima kiungo chote cha Hull city, Diame na huddleston hawakufanya lolote..na ndo maana SG akapata nafas ya kuwa anapanda sana mbele...
Emre Can anatakiwa aanze dhidi ya Newcastle, ameshaanza kuizoea league..
BUT sioni BR akimprefer PC over RS..lazima Atamuanzisha RS tu...
Sidhani kama atafanya hivyo RS atarudi na kuchukua na ya Markovic kwenye wing na gerrard atarudi kwa Lucas then we are doomed, Nina wish kama PC angepewa free role kwenye attacking midfield na SG apandishwe mbele Lucas abaki kama defensive then Emre Can awe patner wa Lucas
Sidhani kama atafanya hivyo RS atarudi na kuchukua na ya Markovic kwenye wing na gerrard atarudi kwa Lucas then we are doomed, Nina wish kama PC angepewa free role kwenye attacking midfield na SG apandishwe mbele Lucas abaki kama defensive then Emre Can awe patner wa Lucas
SG akikaa benchi acheze Lukas Liverpool itashuka daraja!Acheni kumu under rate SG bila yy hii Liverpool itayumba mno!
Carling Cup sio sawa na EPL na naelewa mnapo kwazika sababu ya role yake SG inakandamizwa na uamuzi wa kocha wetu!SG awe free role mbele kama kipindi cha pili na Hull anafanya sana bado mambo!
Kumuweka benchi SG Liverpool hii hainiingii akilini!
Kama umenifuatilia hakuna sehemu nimesema SG akae bench ila arudishwe kwenye position yake attacking midfield na defensive apewe Lucas
What about Hendo??
Vipi Jumapili tukae hapa bwalo la maafisa Oysterbay nione unavyo umia Yaya Toure na Aguero wakitupia?
PM me kama ni possible
Loh! Ushaanza kwa kuniombea mabaya sijii