Liverpool FC (The Reds) | Special Thread



Getting Anfield goosebumps lol they handed that really well.
Haya mambo Klopp tangu kitambo akitakiwa anafanya well its never tooo late.

YNWA
 
Sadio Mane amenunua timu ya daraja la nne huko Ufaransa. Mane ni mwekezaji na hii ni plan ya kusaidia vijana wengi kimaisha kupitia mpira.

Best of luck Sadio. Please don copy and paste FSG’s policies.
Huyu kaka nikimkosa mbinguni nitaandamana.
Ana roho nzuri sana ya pekeyake.
 
Kwa kweli mimi binafsi kwenye penalt nilikuwa namwamini Fabinho na Milner .
Angalau kidogo na Trent sijui.

Wengine waliobaki wote Wana mikosi na penalt.
 
Mi nilikuwa nafikiria hvyo kwasababu hela yake ni ndogo, ila tukimpata huyo jamaa itakuwa poa sana sasa sijui kama FSG wataitoa hela ya huyo Khavicha maana ninahisi yupo ghali sana sokoni
Ni kweli Khavicha bei yake inasisimua lakini kwa mishe zake na rekodi yake ya majeruhi ni worth investing na chini ya Klopp atakua next level yule dogo.

YNWA
 
Huyu Jude Bellingham ni hatari aisee
Dogo kaniacha mdomo wazi actually ningekua napiga kura atue Liverpool kipindi yupo Dortmund ningepiga BIG NO maana haya ya Sancho yalikua yananiogopesha sana lakini dogo kila kukicha anachaja mbuga...

Babu Carlo is the best ku model hawa makinda MF kua lethal nakumbuka Kaka wa Ac Milan alivyokua fire chini ya Babu Carlo...

YNWA
 
Vvd na penalty wapi na wapi🀣
Wenye nazo akina Fabinho na Milner wameshaondoka

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Milner ni mzuri kwenye penalt
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Wewe leo wa kumsfia babu Milner haha kweli ipo siku utamsifia Captain Chaos.

YNWA
 
Mambo ya ramli siyataki tena
Yaani tunaanza gambling,eti Fulani apoteze,tuanze kuwatuma sijui nani wakawafunge City πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bila ramli hakuna wa kumtoa Manchester City pale kileleni come May haha huyu ni apigwe tu...
Mchawi kwetu ni sare zinakua nyingi sana tazama Kipara kashafungwo mechi 2 lakini ana sare chache huku sisi ma sare kama yoteeee

YNWA
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Wewe leo wa kumsfia babu Milner haha kweli ipo siku utamsifia Captain Chaos.

YNWA
Tuwe tu wakweli
Mechi ilikuwa ikionyesha dalili za penalt Babu anaingizwa kutoka benchi.

Kiukweli Kwa wachezaji tuliobaki nao, simuamini hata mmoja kwenye penalty.. ukizingatia Allison kwenye kudaka penalt ni mweupe.

Jamani Bobby
Huyo mdogo wako Nuniez unampromote mnoπŸ˜†πŸ€£
 
Ni mzuri kwenye penati ujue sio promo za bureπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndio kesho wetu huyo kwenye kusaka ubingwa nina imani nae..

YNWA
 
"[emoji599] Liverpool star Luis DΓ­az parents have been kidnapped today in Colombia, per @VickyDavilaH reports.

Tje case happened in the recent hours in Barrancas, La Guajira.

The police is reportedly taking care of the case as they are working to bring Luis parents back asap"

Fabrizo Romano
 
Tayari wamepatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…