Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Trent is the best player in the world right nowGoli la tatu na la nne umeona kazi ya Nunez.. Ni kwel inapofika swala la yeye kufunga anapata sana wenge lakin his involvement pale front is next level..
Salute kwa Endo na Trent
YNWA
Jana na leo BossSaint Annaaaaa!
You're missed muchTrent is the best player in the world right now
Aliyekuwa anamsifia Kelleher sasa ameona utafauti wa Allison na Kelleher.
Hapana atatumika hivyo hivyo mpaka pale Klopp atasema aidha auzwe au akae mpaka mkataba uishe ndio asepe zake.Kwahiyo mkataba wake haiwezekani ukakatishwa?
Afadhali yupo,,mi nakakubali.
Naam shekheHe got dribbled (past) SEVEN (7) times kwenye game ya City.
A record kwenye msimu huu mpaka sasa.
Well, he scored a goal.
So, muda wa narratives.
Ndio naangalia marudio πππView attachment 2832661
View attachment 2832663
Saint Anne kama nakuona jana uluvyokua full happy na boy wako.
YNWA
Kwahiyo mnaona goli alizofungwa tu!Aliyekuwa anamsifia Kelleher sasa ameona utafauti wa Allison na Kelleher.
Ndio vizuriMpira jana umemfanyia ukatili City.
Yani First half tu amekosa nafasi 3 za wazi kabisa achilia mbali 2nd Half halafu kaishia sare.
Nyota yake haikuiJones bhana hua sielewi kama zile dakika anazopewa zina mwisho nwa probably kwa kua ni home grown anajiona ana tiketi hio ya kua stagnant na ategemee tu kuendelea kua kwenye mix...
Once we get a proper DM i rarely see how he will get the minutes EPL.. Minutes should go hand in hand na super performance lakin sio kwa huyu kido...
YNWA