Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naiman Caicedo anajuta huko alipo [emoji1787][emoji1787]

Many LFC wishes. Chelsea walifanya ukatili zile deals
Caicedo and Lavia.

Waka cancel deal la Adam Taylor ambaye alishafanya vipimo, kisa tu Tumemtaka Caicedo, wakao E.! Kama world class coach wants him atakuwa mzuri lets go for him.
 
Many LFC wishes. Chelsea walifanya ukatili zile deals
Caicedo and Lavia.

Waka cancel deal la Adam Taylor ambaye alishafanya vipimo, kisa tu Tumemtaka Caicedo, wakao E.! Kama world class coach wants him atakuwa mzuri lets go for him.


Lavia aliamua kuleta utoto na upuuzi mwenyewe.

We cant blame Caicedo, he was trapped kwenye games za Agents.
 
Mpira katikati unapeperuka mno

Yaani sijui hata nimeonaje
Sisi tunapenya kwa tabu..
Wao wakishika mpira wanapeperuka chap mara hao golini

[emoji81][emoji81] walitarget upande wa Trend na walifanikiwa.
Na tunakuwa too weak kwa sababu hatuna natural DM power-horse one kama Prime Fabinho
 

Apply this in our daily life and will help alot.

Thanks

Nachopenda kwa kops ni vile wana chant Nunez hata akiwa bench. I think those chanters are those who knows LFC & football overall.

Msimu huu hatuna debate kubwa kwenye timu nani aanze nani atokee bench.
 
Jana Manchester city alipitia kwenye tanuri la moto mkali sana wa Villa park.
Tukienda Villa park lazima beki zetu ziwe na full strength unless otherwise tutakutana na hiki amekutana nacho Citu jana, jamaa jana kapelekewa nyingi sana sijui ilikuaje akafungwa moja tu.
 
Niliwaambia mwaka huu pep anacheza ndomboro
Ona sasa 🤣🤣🤣🤣🤣


Alishawaambia timu ikifungwa tuwe pamoja pia
Hakuna picha wataacha ona
 
Kweli barabara ni nyeupe , city ndio kikwazo Arsenal sina mashaka nao kabisa.
Yalishapoteana
Hakuna kikwazo.


Sisi mdogo wanakiwasha
Yaani hata iwe kwa kutenguka misuli
Afe kipa afe beki kombe lazima tubebe
 
[emoji2][emoji2][emoji2]Leo ngoja tushuhudie Tena Striker la Dunia Darwin Nunez akigongesha miamba au kupaiza kabisa yeye na goli



Kazi ya Salah itakua kushika kichwa tuu au kuanguka kama Pep pale striker la Dunia atapogongesha mwamba

Striker ukame amepunguza asilimia 60 ya assists ambazo Salah angekuanazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…