unai naye hana urafiki na sisi kabisa maadui wanakuwa wengi tu[emoji419]said it.....we lost two easy points
hiyo ya arsenal nayo ni a must win game maana unai naye hana urafiki na sisi kabisa maadui wanakuwa wengi tu
-Mwanangu szobo sijui wamempiga misumari aisee[emoji18]
Mpira ni burudani, hiyo burudani hatuipati Liverpool pekeyakeSaint Anne kuanzia leo act kama mwanaliverpool kuwa mpira sio kuzurura kwenye Majukwaa ya wengine na maneno mengi
Kwa msaada wa nyumbuTembo yupo kilelenj sasa daah
Yupo kaka yake anaitwa Captain MarvelousNgoja aje Mosdef na utetezi wake uliotukuka kwa huyu Nunez
Ajali kaziniTulimuonya humu kuwa Derby ni derby tuu
Siku hazifananiLeo sijui alikula nini aisee sijaamini.
Anakoelekea atawavunja moyo na wenzieKWA HERUFI KUBWA TU NUNEZ AUZWE KWA MUSTABALI WA TEAM AMA ATOLEWE MKOPO HATA SUNDALAND.
Kwahiyo mnaona maisha mmeyapatia kukaa kileleni Kwa kusaidiwa na nyumbu😂😂😂😂😂😂
Saint kama Saint njoo useme neno
We jamaa uliona mbali🥲tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)
Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is Bright....Mungu atatupitisha January salama kama tukisajili
Washukuruni nyumbuNitafutie yle anayejiita Saint Anne....kaja kutupigia kelele kwli kule kwny jukwaa letu....sijui wamerudi kileleni sijui nn🤠🤠🤠...Kiko wapi sasa
NopeMechi tatu ngumu ndani ya siku 7..
Nna wasiwasi ya arsenal tutadondosha point
Siku cheki gemu.
Ila wewe...hapo uliweka watu wa5. Yaani ulitaka kumpiga nyumbu 10? Na wengine wawili wangepata moja moja mgewapiga 12? Kuweni na kiasi aisee acheni roho mbaya.Yaani hakuna mechi niliyoingoja kwa hamu kama ya leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliona masaa hayafiki
Nunez
Salah
Diaz
Gakpo
Trent
Tafadhalini,
Nipo chini ya miguu yenu
Nahitaji goli mbili mbili kwa kila mmoja
YNWA[emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo halikua nunezSiku cheki gemu.
YNWA
Gravenberch na Slobodan chemistry yao sioTatizo halikua nunez
Tatizo mido ilikosa ubunifu
Kila player wanted his name on the scoreboard
Meaning kila mchezaji alitaka headline aisee....Tatizo halikua nunez
Tatizo mido ilikosa ubunifu
Kila player wanted his name on the scoreboard