Pia, as fans hatutakiwi kusahau kuwa few months ago tulikuwa ni laughing stock, msimu uliopita ulikuwa ni wa kuusahau kabisa, one of the worst seasons under Klopp reign.
Lakini sana, tupo kwenye 17 games deep in the league, na tumepoteza game moja tu, tena nayo tulikuwa robbed na VAR.
We are heading in the right direction, kuna few holes tunahitaji kuzi-plug tu, but tuko vizuri kuliko tunavyohisi.
So, credit kwa Klopp, his technical bench na players wote kwa ujumla.
So change in MF has changed our new season ama namna gani..
My views..
VVD is back na awamu hii aidha by luck or huko mazoezini ama vyote amekua na combination bora na mabeki wenzake akiwemo dogo Quansah, hii imetupa solid foundation kujenga ukuta imara regardless anacheza nani.
MF imekua a bit progressive na kua hatuna choosen heir wa Fabinho wamekua wakisaidiana mno namna ya kusonga mbele pamoja na kuzuia pamoja. Domy S amekua na msimu wa kwanza safi kabisa in fact amezidi our expectations.. Pia hawa ma dogo kukumbali kwa moyo mmoja kucheza nafasi ama mfumo tofauti na walipotoka imetupa balance kiasi chake... Wachezaji kukumbali na kujituma uwanjani kama Macca playing DM ambayo alipotoka alikua Caicedo lakini hapa Liverpool he is there executing gaffers plan by th action ni jambo njema sana....
Forward line wamekua positive kwamba sio kufunga tu kuna count mbali pia kutengeneza kwa ajili ya wengine.. Hii imetupa new hope na kuwapa mtihani wapinzani wasijue nani wamkabe nani wamuache... Utaona Jones, Elliot, Domy, Trent hao wanafunga hii inapunguza presha kwa ma forwards...
Kuwaachia Henderson, Keita, Ox ilikua maamuzi sahihi.. Tuna MF changa ina miguu fresh kabisa kwa ajili ya mapambano.
Benchi nalo kwa sasa limesheheni vipaji... Tazama Jota na Diaz nk wapo benchi hii inatupa fursa kubwa wanaonza wakichemka basi Klopp chap anafanya sub zamani haya tuliyaona kule kwa Kipara lakin sasa tuna utajiri wa benchi...
Klopp kukumbali kuwapa academy kids some minute kama Quansah, Doak na hii imetusaidia sana ku manage hawa wachezaji wenye historia ya kuumia kama Konate ambaye kukaa fit ni ishu lakin akiwa well managed ku rotate na Quansah naamin atakaa sawa.
Kuongezeka kwa ushindani wa EPL nako kumeleta msukumo mpya kwamba hakuna favourite wa top 4 kila mmoja ashinde mechi zake, tazama Aston Villa walivyombana Manchester City yaan kwa mara ya kwanza kikosi cha Kipara walipiga shot on target 2 au 3 mechi yote hii inaonyesha namna gani walimu wameamka na kutoa mbinu sahihi kwa wachezaji wao...
Wengi walikua na wasiwasi na msimu huu tutakua pambaya...
Nina imani na vijana.
YNWA