Usimsahau Minamino ChiefDogo anakera mno aisee mpaka basi.
Klopp hua ana jicho la kuona raw talent hakuna mchezaji under 30 aliesajiliwa Liverpool akiwa staa.. Ni Thiago tu alisajiliwa akiwa ready made wengine wote Klopp amewajenga mwenyewe tazama wengi walisema Mane tulichekwa, VVD tulipigwa, Salah one season wonder, Allison overrated, Gini, Robbo nk nk wote hao tulichekwa mno lakin muda tu wakawa world beaters hakuna alitamani kukutana na Liverpool kwa kutazma hao wachezaji alivyowaleta Klopp nakua na imani hakubahatisha kwa Nunez kutoa ela zote zile... Nina imani na Klopp.
YNWA
ahah eti the right time, the right playerTuna Calum Scanlon
Amecheza Carabao mechi moja hivi na Europa alipata some minutes. He is good ila kuaminiwa moja kwa moja ngumu.
Gomez will be our LB, Robbo anarudi January. Good thing Gomez is in a good shape by now ( i fear less).
But these injuries zimetuandamana sana. Rotation muhimu sana, we need
Macca
Jota
Thiago
Bajcetic
Robbo
Asap, ili kuwapumzisha wengine. And the rest kuwa fit we can still Challange.
But i real don know enough kama tutaingia sokoni january hii, na kama tutaingia basi ni mmoja au wawili. Klopp ameshaanza βthe right time, the right playerβ.
nina imani na huyu dogo na yule mwingine wa kuitwa Doak wako vizuri sanaQuansah wooow playing kama babu Matip... Proper block.
YNWA
TrueJarell Quansah ni kama like a New signing hivi [emoji16][emoji16][emoji16] YES, Nadhani kama angekuwa anacheza Midtable Premier League timu Value yake ingekuwa si chini ya Β£50m.
Inaumiza sana kushindwa kuifunga hii team mbovu.Kushindwa kufunga dhidi ya Manchester united hii tena Anfield, Ni worst resultof the season. HANDS DOWN.
In terms of shot accuracy Jota ana 40%, Diaz ana 31%, Nunez ana 42%,, Cody ana 33 % na Salah ana 44%Β°In terms of pure finishing,No one in the squad comes close to Diogo Jota.
Minamino, Solanke,Ben Davies hawa walinunuliwa kukuzwa kiasi aafu wauzwe kwa faida na hilo lilifanikiwa.Usimsahau Minamino Chief
Klopp na jopo lake la walimu sasa wameelewa kwamba wachezaji wanahitaji real time action ili wawe tayari kupambana kwa ajili ya timu. Quansah ni mfano bora kabisa.nina imani na huyu dogo na yule mwingine wa kuitwa Doak wako vizuri sana
kama nakumbuka vizuri ubingwa huko tumeukosa si kwa kufungwa bali kwa kutoa draw nyingiKlopp na jopo lake la walimu sasa wameelewa kwamba wachezaji wanahitaji real time action ili wawe tayari kupambana kwa ajili ya timu. Quansah ni mfano bora kabisa.
Zamani tulizoea wachezaji ni wale wale walitumika na kuchoka sana lakin sasa tuna kikosi angalau kipana.
Hatuna LB chaguo la kwanza kwa sasa lakin Gomez ame step up vyema sana.
Hatuna natural DM lakin Macca, Endo wame step vyema.
Tumepotoeza gemu 1 huu mzunguko wa kwanza EPL, hii sio jambo rahisi na vijana wamepambana haswa.
Cheers kwa vijana.
YNWA
Kwa hali ilivyo ndugu angalau kupata pointi moja na kua kileleni mwa ligi ni hatua nzuri sana kwetu...kama nakumbuka vizuri ubingwa huko tumeukosa si kwa kufungwa bali kwa kutoa draw nyingi
tupunguze pasu kwa pasu kama tunahitaji ubingwa
mkuu sipati picha bila ya Salah pale mbele tutakuwajeKwa hali ilivyo ndugu angalau kupata pointi moja na kua kileleni mwa ligi ni hatua nzuri sana kwetu...
Gemu ya Spurs ndio angalau VAR walitughulumu laivu bila chenga...
Mzunguko wa pili target iwe kupunguza hizi sare kua magoli sasa
YNWA