Think he will still end up at Madrid.
But kama Madrid wakizingua race itakuwa open.
Uwezo wa kumsajili Mbappe tunao, but issue ni FSG, kama wataona financial package yake ni reasonable.
What's your opinions kuhusu ...super league... Perez naona mahakama imempa go ahead...unafikiri watafanikiwa in the end??
Halafu unasemaje kuhusu Everton point deductions?why Everton na sio man city?..or Chelsea?....
Maskin Mane alikua ana date na Mellisa Reddy kutoka Sky Sports wame date kwa mwaka hivi au zaidi japo penzi lao lilikua la kimya kimya pengine sasa ameona ni muda sasa wa kufanya kweli kama mzungu anasubirisubiri..Dah yaani mwaka 2018 nilipopata laki 2 tu niliamua kuoa na nikaona maisha niliyapatia kwelikweli lakini Sadio Mane na Utajiri wote alionao ndiyo kaona jana alikuwa bado anajitafuta 🙆🙆View attachment 2865601
Washamba tuHalafu ni midume sijui inatakaje yaani
Maskin Mane alikua ana date na Mellisa Reddy kutoka Sky Sports wame date kwa mwaka hivi au zaidi japo penzi lao lilikua la kimya kimya pengine sasa ameona ni muda sasa wa kufanya kweli kama mzungu anasubirisubiri..
Melisa ni mzaliwa wa sauzi na alikutana na Mane pale Anfied kwenye interview ndio mahusiano yao yakaanza pale pale naona lile tabasamu la Mane lilimsweka Melisa na kujikuta mikononi mwa dogo mazima.
Hongera zake kwa kuanza safari yake mpya ya maisha ya ndoa.
Pole kwa msauzi huyu hapa
Mellisa Reddy View attachment 2865807
YNWA
View attachment 2865953
Mwamba kaangukia hapa 😂😂😂
Tukutane EPL huko FA hata vibwengo kama chelkenge wanashinda.Oh Salah anaenda Afcon
Mtaona
Alisikika kinda mmoja Herzog akiongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu yupo uchi uchi hivi na Ustadh Mane wapi na wapiMaskin Mane alikua ana date na Mellisa Reddy kutoka Sky Sports wame date kwa mwaka hivi au zaidi japo penzi lao lilikua la kimya kimya pengine sasa ameona ni muda sasa wa kufanya kweli kama mzungu anasubirisubiri..
Melisa ni mzaliwa wa sauzi na alikutana na Mane pale Anfied kwenye interview ndio mahusiano yao yakaanza pale pale naona lile tabasamu la Mane lilimsweka Melisa na kujikuta mikononi mwa dogo mazima.
Hongera zake kwa kuanza safari yake mpya ya maisha ya ndoa.
Pole kwa msauzi huyu hapa
Mellisa Reddy View attachment 2865807
YNWA
Tukutane EPL huko FA hata vibwengo kama chelkenge wanashinda.
Sisi ni timu ya wanaharakati mkuu. Nadhani sisi ni miongoni mwa timu kubwa za kwanza kwanza kuweka uwanjani wachezaji weusi zaidi ya 8 kwa pamoja na tumesaidia sana kupinguza chuki dhidi ya watu weusi jijini london na uingereza kwa ujumla.Kwahiyo HENRY14 mkaona mkivaa nyeupe tutaogopa😂😂😂
Niliona mchambuzi wenu anawachambulia eti mnavaa nyeupe kutokomeza The Reds
Mbona unachunguza kila kitu chetu? Wewe ni mpelelezi?Kwahiyo huyu Saka mkaona mumpake marangi kichwani ili aonekane staa [emoji23]
HENRY14
mkorea ni wewe ulimpaka Saka hizi rangi?View attachment 2866059
Sent using Jamii Forums mobile app
Badilisheni kabisa na chata yenu iwe nyeupe Madrid wa mchongomaSisi ni timu ya wanaharakati mkuu. Nadhani sisi ni miongoni mwa timu kubwa za kwanza kwanza kuweka uwanjani wachezaji weusi zaidi ya 8 kwa pamoja na tumesaidia sana kupinguza chuki dhidi ya watu weusi jijini london na uingereza kwa ujumla.
Tunakuwaga na 'no more red' campaign ambayo inakusudia kufichua na kupinga knife violence mitaani. Njia moja ya kufanya hivi ni kuvaa jezi nyeupe katika mechi zetu za nyumbani, sana sana mechi za vikombe.
Si unajua tena sisi ni timu kubwa iliyopitiliza mipaka ya soka na kuingia kwenye harakati.
Kilichobaki ni kutoa viochapo uwanjani. Siyo tunaweka ujumbe muhimu kwa jamii na uharakati mwingii halafu uwanjani tunapigwa hata na Livakuku.
Sisi ndiyo timu ya kigentleman inayovaa nyekundu. Timu zingine zinazovaa nyekundu ni vikundi vya wahuni tu. Acha tubaki nayo hii nyekundu tuiheshimishe maana wengine wanauchafua tuBadilisheni kabisa na chata yenu iwe nyeupe Madrid wa mchongoma