nimemwona jana katoka dah isiwe jeraha kubwa aise
Mbona anaeleweka ?Kuna mtu anamuelewa nunez?
Next mechi ni Chelsea then Arsenal.Leo tumechezesha watoto kama wanne hivi...jinsi tulivyo juu....
Hata tukishinda moja na draw moja...Next mechi ni Chelsea then Arsenal.
Tukipata point 6 hapo title itakuwa inaanza kusogea viwanja vya Anfield.
Daaaah,Mbona anaeleweka ?
Kilichobaki tushinde mechi zetu
Hizi Europa na Carabao ni za kuweka tu watoto akinan Nyomi na wenzie
Uzuri hawa watoto washanusa harufu ya ubingwa
Wanakiwasha hatari
Halafu EPL tunaingiza full mkoko
YNWA🔥
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaendelea sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) Fulham kafa ✔️
3) .......