amefanikiwa kaka....1-0 is respectable score at Bernabeu
Nimependa Jana tulivyocheza without SG, Hendo, MB, Steering and PC.......
Can
This boy done a great great job yesterday sikutegemea kama ataweza mficha Modric.... ingawa dizaini kuna muda alikuwa anaonekana kama amechoka hivi ila he impress me to the maximum
Toure
This brother Jana he do a perfect job alionesha uzoefu wake kwenye uefa, hakuwa na papara he is better. Kwa game ya Jana nampa 98.9%. Salute to brother Kolo.
Leiva
Jana alidhibiti vizur dimba sijui kwanini game zingine huwa anazingua kwa performance ya Jana he is good
The team
Nimeipenda timu ya jana ila nahisi akiongezwa PC itakuwa good hasa kumtumbukizia Borini pale mbele. Wasiwasi wangu kuja kukutana na kikosi kipya kabisa kwenye game ya jumamosi, kiukweli sijawahi kuwa impressed na sterring this season kuna muda na-wish hata aumie ili tu asipangwe jumamosi
Kwa kweli kaka
Lakini jamaa zangu humu ndani bila aibu ni kama wanafurahia kufungwa 1-0 na Real Madrid, kwao huu ni ushindi, ile spirit ya never say die, spirit ya Istanbul imekwenda wapi?
Liverpool inataka kufanana na Arsenal ambao husherehekea kumaliza nafasi ya nne? Madrid walikua na off day jana ila walikua na uhakika na matokeo kwa sababu ya line-up ya Liverpool
naona unaanza kutafuta visingizio, humwamini kocha wako? Inaonekana huiamini timu yako. Achana na "labda labda" na "lakini lakini"....subiri kipigo ndugu. Acha kujiandalia visingizio.
waache wajilishe matango pori....! Wanafikiri chelsea ni km madrid....! Jana si walikua wamepaki bus na kwa chelsea watajifanya kutoka kutafuta goli hapo sasa ndio watamjua mourinho kua ni nani....!
Washabiki wa chelsea naona mnaanza kubweteka, hivi kweli nyie ni wazuri zaidi ya madrid???? Ebu acheni kujilinganisha eti unafikiri chelsea ni km Real madrid. Mnao mpira gani wa kujivunia? Seriously!
numbers don't lie,
angalia tumecheza game ngapi so far this season, tumeshinda ngapi,draw ngapi na tumepoteza ngapi,
then linganisha na Madrid,
*Mind the Gap*
Duuu mapenz/unazi shida sana
Wote hao walicheza na QPR mkaokolewa na penalty ya ajabu!
Mmeanza kuigopa Liverpool sasa eheheheh
Nimependa Jana tulivyocheza without SG, Hendo, MB, Steering and PC.......
Can
This boy done a great great job yesterday sikutegemea kama ataweza mficha Modric.... ingawa dizaini kuna muda alikuwa anaonekana kama amechoka hivi ila he impress me to the maximum
Toure
This brother Jana he do a perfect job alionesha uzoefu wake kwenye uefa, hakuwa na papara he is better. Kwa game ya Jana nampa 98.9%. Salute to brother Kolo.
Leiva
Jana alidhibiti vizur dimba sijui kwanini game zingine huwa anazingua kwa performance ya Jana he is good
The team
Nimeipenda timu ya jana ila nahisi akiongezwa PC itakuwa good hasa kumtumbukizia Borini pale mbele. Wasiwasi wangu kuja kukutana na kikosi kipya kabisa kwenye game ya jumamosi, kiukweli sijawahi kuwa impressed na sterring this season kuna muda na-wish hata aumie ili tu asipangwe jumamosi
tunaiogopaje loserpool..sasa
Suarez spoke to a Chelsea player about them parking the bus siku ile kwenye ile game ya Anfield UWANJANI...
Duh..hebu fanya mishe tumjue ni mchezaji gan huyo
madrid hawakukanyaga mafuta..kutokana na kikoc cha liver kilichopangwa ...dont get carried away!
Comolli (former LFC's director of football) anasema signing ya HENDO kipind kile ndo ilifanya afukuzwe kazi!
Anasema...
Comolli- "when we signed Jordan Henderson he got so much criticism, I got so much criticism, I was never told why i was sacked but i believe it was because we signed Henderson, owners were convinced he was not good enough"