Walaa siyo kwamba ni wabovu. Ni kwamba mmekutana na sie, wababe wa hii ligiAllison ni takataka
Mabeki ni takataka
Walaa siyo kwamba ni wabovu. Ni kwamba mmekutana na sie, wababe wa hii ligi
How do you blame leo?
Players were rugged - slow etc
Goli la pili changed the game and it was our keeper
Hapo kikeleni ni sisi tumewaegesha hapo. Tukiamua kuwatoa ni ishu ya chaap sana.Wababe wa ligi na hamuongozi ligi!
Wababe wa ligi tupo kileleni.
Bad day in the officeAllison ni takataka namba moja leo
Wenzenu tunapoteza mechi na bado tupo kileleniHapo kikeleni ni sisi tumewaegesha hapo. Tukiamua kuwatoa ni ishu ya chaap sana.
Bad day in the office
Sisi tumeshawapa baraka zetu mbebe kombe. Msituletee kiburi. OhoooooKaeni kama mnaweza
Wenzenu tunapoteza mechi na bado tupo kileleni
Aseno hataa akiwa point 30,anaongoza ligi hana uwezo wa kuchukua ubingwaSisi tumeshawapa baraka zetu mbebe kombe. Msituletee kiburi. Ohooooo
Pale unfield mlijitahidi kubana, Sasa leo mnakuja gheto. Mseme wenyewe tuwapige ngapi?
Saint Anne anzisha kikao na wenzako, tunahitaji majibu
Domo kata kwshaibukaHapo kikeleni ni sisi tumewaegesha hapo. Tukiamua kuwatoa ni ishu ya chaap sana.
Bradley amefiwatimu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee
Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott