Kwani mada ilikua ni Nini? Arsenal vs punda Nani atakandwa?Timu yako ni ya ngapi kwenye msimamo wa ligi?
Natania pia. Hata neno mizimu nimezoea tu kutumia kwa sababu ya jamii inayonizunguka ila siamini hivyo vitu vipo zaidi ya kwenye akili za watu tuNot performance its about Lucky & UnLucky
Hata hivyo natania tu mkuu.
Angedaka Kelleher tusingefungwa magoli yote YaleHaha Kelleher asubiri tu kwanza.
Hata angedaka De Gea au Ramsdale su Raya, makipa bora wa ligi, bado tungewapiga tu hata zaidi. Nyie kuku ni chakula kwetu tu siku hiziAngedaka Kelleher tusingefungwa magoli yote Yale
Timu yako ni namba ngapi kwenye msimamo wa ligi?Kwani mada ilikua ni Nini? Arsenal vs punda Nani atakandwa?
Shangazi upo vizuri kwenye kuamisha magoli[emoji1]
Hata angedaka De Gea au Ramsdale su Raya, makipa bora wa ligi, bado tungewapiga tu hata zaidi. Nyie kuku ni chakula kwetu tu siku hizi
Namba 3Timu yako ni namba ngapi kwenye msimamo wa ligi?
Mabingwa tupo kileleni wala hatuna mbambamba 😂Namba 3
Arsenal kiboko ya mabishoo. Uje kiumeni Kule the gunners, tumekumiss shangazi
Hawa sasa ni vibonde wetu tu hawa. Hawana tofauti na Manyumbu na Chelkenge. Yaani tunajipigia tu na wakipona sanaaaa, basi wanaambulia sare.Namba 3
Arsenal kiboko ya mabishoo. Uje kiumeni Kule the gunners, tumekumiss shangazi
Hawa sasa ni vibonde wetu tu hawa. Hawana tofauti na Manyumbu na Chelkenge. Yaani tunajipigia tu na wakipona sanaaaa, basi wanaambulia sare.
Yaani siju kwa nini tuna furaha sana wiki hii. Mpaka mwanangu anaanza kusahau kwamba baba ni mkali.Naona mmelewa sasa
Liverpool bingwa utake usitake.
Ndo maana unashinda jukwaa letu la mabingwa wa dunia 😂
Timu ambazo Zina ukame wa ushindi ni kawaida kushangiliaYaani siju kwa nini tuna furaha sana wiki hii. Mpaka mwanangu anaanza kusahau kwamba baba ni mkali.
Na sisi kwa kweli msimu huu tumepitia magumu mnoooo. Yaani hata Fulham na West Ham eti wametupiga. Hai ingii akilini kabisa ila yametokea. Tungelegea hata timu ndogo zingine kama Liverpool zingetuvimbiaTimu ambazo Zina ukame wa ushindi ni kawaida kushangilia
Mabingwa Sisi tushazoea ushindi.
Unawait mabingwa timu ndogo?Na sisi kwa kweli msimu huu tumepitia magumu mnoooo. Yaani hata Fulham na West Ham eti wametupiga. Hai ingii akilini kabisa ila yametokea. Tungelegea hata timu ndogo zingine kama Liverpool zingetuvimbia
Ubingwa si sisi ndiyo tunawapa? Tukiamua kuwanyang'anya tunawanyang'anya fresh kabisa. Points 2 tu hapo. Tunamfukuza mwizi taratiiibuUnawait mabingwa timu ndogo?
Chukueni ubingwa tuoneUbingwa si sisi ndiyo tunawapa? Tukiamua kuwanyang'anya tunawanyang'anya fresh kabisa. Points 2 tu hapo. Tunamfukuza mwizi taratiiibu
Wakipigwa Hamis anopotea, na wanaanza kumlaum Hamis [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Timu muda wote wanalia
Ni vichapo tu
Acha wasafishe nyota[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukipita jukwaani kwao utaona sasa wanavyomsikiliza Hamis akichambua,anawaambia EPL wanaibeba[emoji23]