Msituchokoze simba tuliolala. Tukiamka kwa hasira hakuna fisi aingiae kwenye 18 zetu atasalimika.Chukueni ubingwa tuone
Mchukulie wapi?
Timu ina gundu hiyo
Wakipigwa Hamis anopotea, na wanaanza kumlaum Hamis [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtoto anashangaa wiki hii baba hanifokeiNa sisi kwa kweli msimu huu tumepitia magumu mnoooo. Yaani hata Fulham na West Ham eti wametupiga. Hai ingii akilini kabisa ila yametokea. Tungelegea hata timu ndogo zingine kama Liverpool zingetuvimbia
Hasira za kutoka uwanjani na kuzipeleka nyumbani hapana aisee. Sisi hatuna huo utumbo. Hayo mambo tunawaachia Manyumbu, kuku na chelkenge.Mtoto anashangaa wiki hii baba hanifokei
Arse8 muda wote mna hasira 😂
Endelea kuenioy wateule wa football, Liverpool.
Tatizo Klopp ngumu kama mamba hapati maumivu ni akiona dam ndo anastuka na inakua tushachelewaMacca as 6 improved no doubt about it na Kops tumeridhika. Ni muda wa Klopp kuwatumia Endo as Anchor and Macca as deeplying play marker hapo amalizie Jones as long as Szobo bado hayupo fit, or rather Klopp can use Trent as RCM with Endo and Macca with him,
Trent as RB kwa sasa ni suicide atleast few season ago ila kwa sasa No No No, trent amegoma kuwa RB kwa matendo.
YNWA
Yani unawazo tutarudi huko?Kuondoka kwa Klopp kunaninyima usingizi kwakweli.
Yani kila nikikumbuka Dark Ages tulizopitia basi nakosa Amani.
Salah uarabuniKuondoka kwa Klopp kunaninyima usingizi kwakweli.
Yani kila nikikumbuka Dark Ages tulizopitia basi nakosa Amani.
Marahaba Miss LiverpoolMjep shkamoo
Nipo mwingi hapa nimeenea😂Marahaba Miss Liverpool
Umehadimika
Kuondoka kwa Klopp kunaninyima usingizi kwakweli.
Yani kila nikikumbuka Dark Ages tulizopitia basi nakosa Amani.
Tatizo Klopp ngumu kama mamba hapati maumivu ni akiona dam ndo anastuka na inakua tushachelewa
Yani unawazo tutarudi huko?
Ikiwa hivyo ni Bora kuliko kubaki nae hafu tuishie kutapika tu tupo kaa vifaranga Kila siku labda msimu huu
Ni maoni tu lakini
Salah uarabuni
TAA ,VVD wanasubiri mustakabali wajue kocha gan anakuja
Kifupi mnaenda kuwa kama manjesta ya ETH[emoji1787][emoji1787]
Sisi gunners aka wababe wa hii ligi tunawapa ofa. Akirejea Salah, ombeni mechi irudiwe muone tutakachowafanya. This time hazitapungua 5Manga ML tunakusalimu brother😂😂
Hapo vipi?unnaionaje timu bila ya Salah?
Kule jukwaa la Arsenal walikuwa wanalialia wanamuogopa Salah..na kweli akawatenda.
Ila Kuna watu tena Wanaliver wanakuja kusema eti bila Salah timu inacheza tu vizuri 😂😂
Nilicheka sana nikajisemea moyoni subiri mechi ije tufungwe.
Jana wote nadhani tumeona umuhimu na gap la Salah.
Salah msimu Jana ameibeba timu mabegani,timu ikiwa hoi mahututi...muda wote ni wa moto,tofauti na akina Jota ambao itategemea ameamka vipi.
For sure, I'm optimistic that Xabi won't turn down our offer, he's molding Leverkusen into a unique club with a Klopp like essence. Xabi embodies attributes similar to Klopp.Sijui kwa nini siwazi kama tutarudi huko,naweza kuwa miongoni mwa wachache kwenye wengi.
We will be there still, labda wamlete Gerrard.
Ikiwa watamchukua
Alonso
El cholo bado tutakuwa huko juu
YNWA
Kwa maneno ninayosoma juu ya Alonso. Anaonekana ni bonge la kocha mixer ya kina Klopp na Pep. Atawafaa na atachangamsha EPLFor sure, I'm optimistic that Xabi won't turn down our offer, he's molding Leverkusen into a unique club with a Klopp like essence. Xabi embodies attributes similar to Klopp.
Sisi gunners aka wababe wa hii ligi tunawapa ofa. Akirejea Salah, ombeni mechi irudiwe muone tutakachowafanya. This time hazitapungua 5
Kweli pombe siyo maji😂Sisi gunners aka wababe wa hii ligi tunawapa ofa. Akirejea Salah, ombeni mechi irudiwe muone tutakachowafanya. This time hazitapungua 5