Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndiye mwenye kipindi hicho nilikuwa napenda kumwita Ndanda Cosovo kutoka na style zake za nywele kama mwanamuziki wa Wajelajela Original.

Senegal ilijaaliwa sana na ndio walifungua milango ya kumulikwa huko ulaya.

Style za nywele zilimpaisha kama wacongo sasa hivi
 
Hivi upewe Alonso na El Cholo utamchagua nani?
Binafsi El Cholo any day of the week.
El Cholo na zile tai zake kama mkanda haha...
Bring El Cholo now now tumalize haya maneno

YNWA

Napenda amsha amsha zake kwenye touchline, that man is very Funny. Sema mpira una ukatili wake. Wangepata heavy investment angeyabeba sana bahati mbaya hakuwa kwenye timu yenye pesa na ameshindana na wenye pesa.

Funny thing Cholo na Pep mwl wao ni M. Biesla. Bielsa anamuita Cholo shetani mweusi na Pep Shetani mweupe kwa aina ya soka lao.
 
Bielsa sometimes overrated sana..
Mourinho alikuwa msaidizi wa Bobby Robson huku Pep na Enrique wanacheza... rarely husikii Bobby Robson alivyo wa Influence hawa kina Pep, Mourinho na Enrique
 
Bielsa sometimes overrated sana..
Mourinho alikuwa msaidizi wa Bobby Robson huku Pep na Enrique wanacheza... rarely husikii Bobby Robson alivyo wa Influence hawa kina Pep, Mourinho na Enrique

Biesla mpira anaujua sana, sema ndio hivyo sio fungu lake la ukocha, watu kama wale ni Sporting director wazuri lkn kwenye touchline kuna watu wake.

Sawa na Raph Rangnick tu.

Naam kuna watu behind the scene ndio mihimili ya makocha lkn hawajulikani sana ndio kama Bobby Robson… Thats football.
 
Wanangu Burnley nipigieni hawa ili nao wapoteze angalau mechi 3 msimu huu
 
[emoji599] Klopp on Trent Alexander-Arnold out at half time: “He felt pain in same area, in the left knee”.

“Nothing really bad, but he felt it again, and we have to see. We will assess it. We had to be careful and take him off”.
 
[emoji599] Klopp on Trent Alexander-Arnold out at half time: “He felt pain in same area, in the left knee”.

“Nothing really bad, but he felt it again, and we have to see. We will assess it. We had to be careful and take him off”.
Tunayo tamani ushindi usio na jasho tutaomba apone taaaratiiibu awape nafasi wanaojituma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…